Assalam aleukum ndugu zangu,nina jambo moja nataka kuliweka hapa japo tusaidiane katika hili!nimekutana na dada mmoja bahati nzuri nakaa nae mtaa mmoja nikatokea kumpenda sana ila cha ajabu huyu mwenzangu baada ya kuanza mahusiano akaanza mizinga mwanzoni nikajua ni ya kawaida tu so sikushtuka sana!anasoma IFM hapa dsm.Sasa juzi kati kanifata anataka nimlipie kodi ya nyumba wakati anajua mi mwenyewe kodi maana bado sijajiweza kiivyo...dizaini nikampotezea basi na yeye akapoteza kingine nikaja kugundua ana mtoto amezaa na msanii flini wa ubongo wa flava cha ajabu siku moja akaniomba hela ya kumlipia mfanyakazi anayemuhudumia mwanae nikamwambia baba yake si yupo?ndo akakasirika kabisaaa...toka hapo akamua kukaa kimya na mimi nikamua kunyuti pia!baada ya kama wiki mbili anarudi na anaomba msamaha mi nikacheka nikamwambia bwana mi na wewe tuachane kwa amani maana kama hatutaweza kuwa pamoja kabisa!ila anasisitiza tu...ushauri please!