Ushauri wenu jamani

mada kama hizi ndo zinashushia hadhi hii forum, hivi mods mnakua hamuoni au mnatutega? hii chai yako imezidi sukari tukiamua kuichujua tunapata na chupa zingine za chai full!! pathetic!!
 
Rubbish tupu.
 
Mi naona wewe unaakili za kitoto...
Mwanaume anapambana kutafuta wewe unataka mapenzi ya kihindi...
Mapenzi muhimu mke anataka dyu dyu bwana nyie dyu dyu ndiio muhimu.
Maisha ya ndoa yawe na usawaziko kazi na migegedo sio kazi pekee
 
Hahaha
 
Na bado moderators hawafuti hii takataka, JF ya zama hizi inajiua yenyewe
 
Hili jukwaa lina chai za kutosha siku hizi.
 
Bastola yangu ndio maana inakaa karibu na mimi kila siku, hawa viumbe sio kabisa, kuna watu hawatakiwi kuishi nao kabisa
 
Hii chai hii
 
Safi Sana umemkumbusha maana ujinga wa huko Facebook wanauleta JF
 
Mashoga nayo yameanza kulalamika waziwazi...
JF sikuhizi mimi ndio maana naamua kuandika maneno makali ya laana tu mtu akafe nayo mbele...
Yaani humu JF watu wasumbufu na useless wanaotakiwa kutolewa roho ni singo maza, mashoga, madanga, wanaoishi kwa waume za dada zao, watoto wa chuo na wanawake walioachika ktk ndoa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ