Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Au kifataki zaidi 😂Kibambucha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au kifataki zaidi 😂Kibambucha
Umeandika kwa uchungu sana mkuu 😃Mayala we.. 🖕
Rubbish tupu.Mimi nataka kujua tu namna ya kumuacha mume wangu. Iko hivi, nimeolewa, ndoa yangu ina miaka 12, lakini katika kipinipidi chote hicho sijawahi kufurahia maisha ya ndoa, kila siku mimi nniwakulia na wanangu, tunagombana kiasi kwamba sasa hivi hata tendo la ndoa hakuna.
Si kama ananip*iga wala kunitukana, hapana, mume wangu anahudumia familia, anajali, anatoa kila kitu, huwezi kumuomba akakunyima, anafanya kazi na mimi kanifungulia biashara mara 4, lakini ilishindikana kwa sababu sikuwa na amani ya roho. Shida, mume wangu ni mtu wa kazi, hana muda na familia, yaani hana yale mahaba, huwezi amini mume wangu hajawahi kuninunulia zawadi yoyote, hajawahi, ukimuambia anakwambia hela si zipo, wewe nenda mimi ninunue. Yaani kuliko kuninunulia kitu anakupa hela!
Unaweza kusuka, anakupa hela, lakini hata kukusifia umependeza hatusifii, yaani ni majirani na watu wa nje. Rafiki zangu wakija nyumbani waninisifia, lakini yeye hata hajali na hanioneshi wivu kabisa.
Naweza kumuaga naenda nyumbani kwa mama, nikaenda hata wiki lakini hajali, hawezi kufuatilia kama nimeenda kweli au niko kwa mwanaume.
Baada ya kuona hivyo, niliamua kuchepuka makusudi ili aone wivu, ila haonyeshi tofauti, nimejaribu kumuonyesha vituko ila hajali, mpaka kuna wakati natamani kujirekodi nikiwa na mwanaume mwingine nimtumie, ila naogopa itakuwa aibu kwa ndugu zangu.
Kuna kaka niko naye, yeye ni mdogo, mimi nina miaka 42, yeye ana miaka 31, amemaliza chuo lakini hajapata kazi, niko naye kwenye mahusiano huu ni mwezi wa 6, nina furaha sana, na ananipenda, yaani mwanamke ujajaliwa mpaka unajiona malaiika, asubuhi anakutumia emoj nyingi za mapenzi, mchana ndiyo, atataka kuja, kila wakati ana muda na mimi sana.
Mimi sina kazi, na yeye hana kazi, lakini mimi na mume wangu tumejenga, tuna nyumba tano, mbili zina majina yangu na tatu zina majina yake, ambapo moja ndiyo tunaishi. Hizi zangu ni za kupangisha, na kodi nachukua mimi, mume wangu haniulizii.
Sasa ninachouliza, je, nikaachana na mume wangu, kwani tutagawana na hizi nyumba zangu? Mimi sijali kuhusu zake, kwani zangu ziko sehemu nzuri, ni yeye alijenga bila kundiandika mimi. Nataka talaka, lakini nataka kila mmoja abaki na nyumba zake, kwani mimi na huyu mwanaume niliye naye tumepanga kutengeneza BNB kwenye hizi nyumba zangu, tuwe tunasimamia wote, nataka tu mume wangu asizidai!
Mapenzi muhimu mke anataka dyu dyu bwana nyie dyu dyu ndiio muhimu.Mi naona wewe unaakili za kitoto...
Mwanaume anapambana kutafuta wewe unataka mapenzi ya kihindi...
HahahaMimi nataka kujua tu namna ya kumuacha mume wangu. Iko hivi, nimeolewa, ndoa yangu ina miaka 12, lakini katika kipinipidi chote hicho sijawahi kufurahia maisha ya ndoa, kila siku mimi nniwakulia na wanangu, tunagombana kiasi kwamba sasa hivi hata tendo la ndoa hakuna.
Si kama ananip*iga wala kunitukana, hapana, mume wangu anahudumia familia, anajali, anatoa kila kitu, huwezi kumuomba akakunyima, anafanya kazi na mimi kanifungulia biashara mara 4, lakini ilishindikana kwa sababu sikuwa na amani ya roho. Shida, mume wangu ni mtu wa kazi, hana muda na familia, yaani hana yale mahaba, huwezi amini mume wangu hajawahi kuninunulia zawadi yoyote, hajawahi, ukimuambia anakwambia hela si zipo, wewe nenda mimi ninunue. Yaani kuliko kuninunulia kitu anakupa hela!
Unaweza kusuka, anakupa hela, lakini hata kukusifia umependeza hatusifii, yaani ni majirani na watu wa nje. Rafiki zangu wakija nyumbani waninisifia, lakini yeye hata hajali na hanioneshi wivu kabisa.
Naweza kumuaga naenda nyumbani kwa mama, nikaenda hata wiki lakini hajali, hawezi kufuatilia kama nimeenda kweli au niko kwa mwanaume.
Baada ya kuona hivyo, niliamua kuchepuka makusudi ili aone wivu, ila haonyeshi tofauti, nimejaribu kumuonyesha vituko ila hajali, mpaka kuna wakati natamani kujirekodi nikiwa na mwanaume mwingine nimtumie, ila naogopa itakuwa aibu kwa ndugu zangu.
Kuna kaka niko naye, yeye ni mdogo, mimi nina miaka 42, yeye ana miaka 31, amemaliza chuo lakini hajapata kazi, niko naye kwenye mahusiano huu ni mwezi wa 6, nina furaha sana, na ananipenda, yaani mwanamke ujajaliwa mpaka unajiona malaiika, asubuhi anakutumia emoj nyingi za mapenzi, mchana ndiyo, atataka kuja, kila wakati ana muda na mimi sana.
Mimi sina kazi, na yeye hana kazi, lakini mimi na mume wangu tumejenga, tuna nyumba tano, mbili zina majina yangu na tatu zina majina yake, ambapo moja ndiyo tunaishi. Hizi zangu ni za kupangisha, na kodi nachukua mimi, mume wangu haniulizii.
Sasa ninachouliza, je, nikaachana na mume wangu, kwani tutagawana na hizi nyumba zangu? Mimi sijali kuhusu zake, kwani zangu ziko sehemu nzuri, ni yeye alijenga bila kundiandika mimi. Nataka talaka, lakini nataka kila mmoja abaki na nyumba zake, kwani mimi na huyu mwanaume niliye naye tumepanga kutengeneza BNB kwenye hizi nyumba zangu, tuwe tunasimamia wote, nataka tu mume wangu asizidai!
Na bado moderators hawafuti hii takataka, JF ya zama hizi inajiua yenyeweSamahani unajinsia gani?? Hapa ulisema hivi:
Hii kweli nimeshuhudia aisee kuna mmoja ananilalamikia hata wa kuzaa nae aisee
Jinsi Maisha ya Wadada Yanavyokuwa Kadri Umri Unavyokwenda
Kuna kina sie hapo 35 na kuendelea hatutaki mchezo,,!!!! Tunajua kabisa huyu mwanaume Yuko kwangu na kazi yake ni ipi???!!! Kama baba uwe baba bora maana ninachohotaji ni baba bora si bora baba... Kama ni mpenzi na huna hela ujue kabisa una cha kunipa ambacho nitaridhika nacho maana hela huna...www.jamiiforums.com
Nyanya na Mayai. Jipikie mwenyewe!
Habari wakuu wa JF! Hapa ni Mchina Bakari, ni muda mrefu hatujaonana. Leo nitawafundisha namna ya kupika chakula kizuri cha Kichina, jina lake ni 番茄炒蛋, ambalo linamaanisha nyanya na mayai. Kabla ya kupika, unatakiwa kuandaa vyema kwa mapishi yako. Malighafi yanapatikana sokoni, nyanya moja na...www.jamiiforums.com
Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu! Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari...www.jamiiforums.com
Natafuta mchumba
uwe na kazi nzuri lasivyo utateseka Cheo cha raisi wa ma jobless pro max, si nacho kina heshimika😂🤣www.jamiiforums.com
Nimeumizwa na ushindi wa Tundu lissu
Kiukweli nimeumizwa na ushindi wa TUNDU LISSU hapa mjini Dar eSalaam tutaishi vp?je pombe na nyama tutapata wapi? Je pesa za kutanua kitambaa cheusi tutapata wapi? Madili yangu yalikuwa yanategemea connection za mwenyekiti aliyepita aisee wajumbe mliwaza sisi familia zitaishi VP? 🥺🥺 Leo siku...www.jamiiforums.com
Hili jukwaa lina chai za kutosha siku hizi.Mimi nataka kujua tu namna ya kumuacha mume wangu. Iko hivi, nimeolewa, ndoa yangu ina miaka 12, lakini katika kipinipidi chote hicho sijawahi kufurahia maisha ya ndoa, kila siku mimi nniwakulia na wanangu, tunagombana kiasi kwamba sasa hivi hata tendo la ndoa hakuna.
Si kama ananip*iga wala kunitukana, hapana, mume wangu anahudumia familia, anajali, anatoa kila kitu, huwezi kumuomba akakunyima, anafanya kazi na mimi kanifungulia biashara mara 4, lakini ilishindikana kwa sababu sikuwa na amani ya roho. Shida, mume wangu ni mtu wa kazi, hana muda na familia, yaani hana yale mahaba, huwezi amini mume wangu hajawahi kuninunulia zawadi yoyote, hajawahi, ukimuambia anakwambia hela si zipo, wewe nenda mimi ninunue. Yaani kuliko kuninunulia kitu anakupa hela!
Unaweza kusuka, anakupa hela, lakini hata kukusifia umependeza hatusifii, yaani ni majirani na watu wa nje. Rafiki zangu wakija nyumbani waninisifia, lakini yeye hata hajali na hanioneshi wivu kabisa.
Naweza kumuaga naenda nyumbani kwa mama, nikaenda hata wiki lakini hajali, hawezi kufuatilia kama nimeenda kweli au niko kwa mwanaume.
Baada ya kuona hivyo, niliamua kuchepuka makusudi ili aone wivu, ila haonyeshi tofauti, nimejaribu kumuonyesha vituko ila hajali, mpaka kuna wakati natamani kujirekodi nikiwa na mwanaume mwingine nimtumie, ila naogopa itakuwa aibu kwa ndugu zangu.
Kuna kaka niko naye, yeye ni mdogo, mimi nina miaka 42, yeye ana miaka 31, amemaliza chuo lakini hajapata kazi, niko naye kwenye mahusiano huu ni mwezi wa 6, nina furaha sana, na ananipenda, yaani mwanamke ujajaliwa mpaka unajiona malaiika, asubuhi anakutumia emoj nyingi za mapenzi, mchana ndiyo, atataka kuja, kila wakati ana muda na mimi sana.
Mimi sina kazi, na yeye hana kazi, lakini mimi na mume wangu tumejenga, tuna nyumba tano, mbili zina majina yangu na tatu zina majina yake, ambapo moja ndiyo tunaishi. Hizi zangu ni za kupangisha, na kodi nachukua mimi, mume wangu haniulizii.
Sasa ninachouliza, je, nikaachana na mume wangu, kwani tutagawana na hizi nyumba zangu? Mimi sijali kuhusu zake, kwani zangu ziko sehemu nzuri, ni yeye alijenga bila kundiandika mimi. Nataka talaka, lakini nataka kila mmoja abaki na nyumba zake, kwani mimi na huyu mwanaume niliye naye tumepanga kutengeneza BNB kwenye hizi nyumba zangu, tuwe tunasimamia wote, nataka tu mume wangu asizidai!
Hii chai hiiMimi nataka kujua tu namna ya kumuacha mume wangu. Iko hivi, nimeolewa, ndoa yangu ina miaka 12, lakini katika kipinipidi chote hicho sijawahi kufurahia maisha ya ndoa, kila siku mimi nniwakulia na wanangu, tunagombana kiasi kwamba sasa hivi hata tendo la ndoa hakuna.
Si kama ananip*iga wala kunitukana, hapana, mume wangu anahudumia familia, anajali, anatoa kila kitu, huwezi kumuomba akakunyima, anafanya kazi na mimi kanifungulia biashara mara 4, lakini ilishindikana kwa sababu sikuwa na amani ya roho. Shida, mume wangu ni mtu wa kazi, hana muda na familia, yaani hana yale mahaba, huwezi amini mume wangu hajawahi kuninunulia zawadi yoyote, hajawahi, ukimuambia anakwambia hela si zipo, wewe nenda mimi ninunue. Yaani kuliko kuninunulia kitu anakupa hela!
Unaweza kusuka, anakupa hela, lakini hata kukusifia umependeza hatusifii, yaani ni majirani na watu wa nje. Rafiki zangu wakija nyumbani waninisifia, lakini yeye hata hajali na hanioneshi wivu kabisa.
Naweza kumuaga naenda nyumbani kwa mama, nikaenda hata wiki lakini hajali, hawezi kufuatilia kama nimeenda kweli au niko kwa mwanaume.
Baada ya kuona hivyo, niliamua kuchepuka makusudi ili aone wivu, ila haonyeshi tofauti, nimejaribu kumuonyesha vituko ila hajali, mpaka kuna wakati natamani kujirekodi nikiwa na mwanaume mwingine nimtumie, ila naogopa itakuwa aibu kwa ndugu zangu.
Kuna kaka niko naye, yeye ni mdogo, mimi nina miaka 42, yeye ana miaka 31, amemaliza chuo lakini hajapata kazi, niko naye kwenye mahusiano huu ni mwezi wa 6, nina furaha sana, na ananipenda, yaani mwanamke ujajaliwa mpaka unajiona malaiika, asubuhi anakutumia emoj nyingi za mapenzi, mchana ndiyo, atataka kuja, kila wakati ana muda na mimi sana.
Mimi sina kazi, na yeye hana kazi, lakini mimi na mume wangu tumejenga, tuna nyumba tano, mbili zina majina yangu na tatu zina majina yake, ambapo moja ndiyo tunaishi. Hizi zangu ni za kupangisha, na kodi nachukua mimi, mume wangu haniulizii.
Sasa ninachouliza, je, nikaachana na mume wangu, kwani tutagawana na hizi nyumba zangu? Mimi sijali kuhusu zake, kwani zangu ziko sehemu nzuri, ni yeye alijenga bila kundiandika mimi. Nataka talaka, lakini nataka kila mmoja abaki na nyumba zake, kwani mimi na huyu mwanaume niliye naye tumepanga kutengeneza BNB kwenye hizi nyumba zangu, tuwe tunasimamia wote, nataka tu mume wangu asizidai!
Safi Sana umemkumbusha maana ujinga wa huko Facebook wanauleta JFSamahani unajinsia gani?? Hapa ulisema hivi:
Hii kweli nimeshuhudia aisee kuna mmoja ananilalamikia hata wa kuzaa nae aisee
Jinsi Maisha ya Wadada Yanavyokuwa Kadri Umri Unavyokwenda
Kuna kina sie hapo 35 na kuendelea hatutaki mchezo,,!!!! Tunajua kabisa huyu mwanaume Yuko kwangu na kazi yake ni ipi???!!! Kama baba uwe baba bora maana ninachohotaji ni baba bora si bora baba... Kama ni mpenzi na huna hela ujue kabisa una cha kunipa ambacho nitaridhika nacho maana hela huna...www.jamiiforums.com
Nyanya na Mayai. Jipikie mwenyewe!
Habari wakuu wa JF! Hapa ni Mchina Bakari, ni muda mrefu hatujaonana. Leo nitawafundisha namna ya kupika chakula kizuri cha Kichina, jina lake ni 番茄炒蛋, ambalo linamaanisha nyanya na mayai. Kabla ya kupika, unatakiwa kuandaa vyema kwa mapishi yako. Malighafi yanapatikana sokoni, nyanya moja na...www.jamiiforums.com
Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu! Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari...www.jamiiforums.com
Natafuta mchumba
uwe na kazi nzuri lasivyo utateseka Cheo cha raisi wa ma jobless pro max, si nacho kina heshimika😂🤣www.jamiiforums.com
Nimeumizwa na ushindi wa Tundu lissu
Kiukweli nimeumizwa na ushindi wa TUNDU LISSU hapa mjini Dar eSalaam tutaishi vp?je pombe na nyama tutapata wapi? Je pesa za kutanua kitambaa cheusi tutapata wapi? Madili yangu yalikuwa yanategemea connection za mwenyekiti aliyepita aisee wajumbe mliwaza sisi familia zitaishi VP? 🥺🥺 Leo siku...www.jamiiforums.com
