Ushauri wenu jamani

Kuna nyuzi ulisema upo manzese unatafuta demu ?

We jinsia gani mwenzetu?

Maake humu hizi I'd fake vurugu vurugu!
 
Hujitambui kiufupi
 
Umefunguliwa biashara mara nne ndani ya miaka kumi na zote zimefilisika ?
 
Kuna wanawake wasengerema sana, kimsingi wewe ni malaya tu kama malaya wengine
 
Huyo mtoto unayetembea nae atakuja kukuliza. Na akishakuliza atachukua njia yake na wewe utabaki bibi sio bibi mshangazi uliyozeeka.

Unachotakiwa kuelewa ni kwamba umekosa pakudekea tu, ungedekea kwa mama na babaako.

Mumeo anawajibika na atakai salama wewebuta angamia kwa sababu njia unayokwenda sio njia sahihi.

Kuhusu maki anauwezo kukunyan'ganya sio nyumba zake tu, hata hela alizokupa anaweza akadai maana umexila kweli na unahonga. Na utarejea kwenu mtupu
 
Uchawi upo..
Nadhani sio akili yako hii
 
Baada ya kuona hivyo, niliamua kuchepuka makusudi ili aone wivu, ila haonyeshi tofauti, nimejaribu kumuonyesha vituko ila hajali, mpaka kuna wakati natamani kujirekodi nikiwa na mwanaume mwingine nimtumie, ila naogopa itakuwa aibu kwa ndugu zangu.
Mliosoma hui uzi vizuri huu mwandiko ni wa Mwanamke kweli au Shoga?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Amina mtumishi
 
Ila wanawake bwana dah πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚. Kuna mwenzio huku Nampa kila kitu, Nampa mapenzi motomoto. Namnunulia zawadi, pamoja niko busy ninapo pata nafasi nawatoa out wanafurahi. Lakini bado ana vituko hatari. Ila Mungu aliye waumba anajua mwenyewe.


Anyway ushauri wangu. Usilete vituko, endelea na utulivu huo huo. Ongeza kumpenda mchepuko wako endelea naye kwa siri sana usije vujisha utakuja kujuta. Nakushauri huyo anayekufanya uwe na furaha endelea naye hivyo hivyo kimya kimya. Ingawa angalia usije kuta anakufuatilia wewe hujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…