N NIMEONA JF-Expert Member Joined Aug 4, 2019 Posts 3,862 Reaction score 5,693 Jun 6, 2021 Thread starter #21 Political stability said: Mpeleke veta... Akasome umeme, au plumbing. Utakuja kunikumbuka siku moja Click to expand... shukrani
Political stability said: Mpeleke veta... Akasome umeme, au plumbing. Utakuja kunikumbuka siku moja Click to expand... shukrani
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jun 6, 2021 #22 Kuna Performing Arts (Sanaa ya maigizo au maonesho) Kuna Visual Arts (Sanaa ya uchoraji) Hiyo Performing and Vusal Arts siifahamu...
Kuna Performing Arts (Sanaa ya maigizo au maonesho) Kuna Visual Arts (Sanaa ya uchoraji) Hiyo Performing and Vusal Arts siifahamu...
N NIMEONA JF-Expert Member Joined Aug 4, 2019 Posts 3,862 Reaction score 5,693 Jun 6, 2021 Thread starter #23 Smart911 said: Kuna Performing Arts (Sanaa ya maigizo au maonesho) Kuna Visual Arts (Sanaa ya uchoraji) Hiyo Performing and Vusal Arts siifahamu... Click to expand... basi ndiyo aliyopangiwa mkuu (imeandikwa hivyo). je, ulipaji wake hivyo vitu, kwa ufahamu wako, upoje kiongozi katika suala zima la kuajiriwa na kujiajiri?
Smart911 said: Kuna Performing Arts (Sanaa ya maigizo au maonesho) Kuna Visual Arts (Sanaa ya uchoraji) Hiyo Performing and Vusal Arts siifahamu... Click to expand... basi ndiyo aliyopangiwa mkuu (imeandikwa hivyo). je, ulipaji wake hivyo vitu, kwa ufahamu wako, upoje kiongozi katika suala zima la kuajiriwa na kujiajiri?