kambagasa
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 2,269
- 1,803
Wakubwa habari zenu, wadogo marahaba.
Ndugu zangu jana nilitumiwa message na rafiki yangu akiomba aniunganishe katika biashara ya bidhaa za Oriflame Sweden (kama alivyoziita yeye). Kwa kuwa ni rafiki yangu nilimuuliza endapo zina tija na kama ni inshu serious. Baadae niliunganishwa na kutumiwa taarifa mbalimbali ambazo kwa kweli zilinivutia sana.
Kuna kipindi nilisoma uzi humu unahusu bidhaa za forever living ambapo nilipata elimu kubwa kuhusu bidhaa za forever na nikaamua kukaa pembeni. Hivyo naamini hapa Jamii forum kuna watu waelewa sana na huenda wana ufahamu zaidi na hizi bidhaa za Oriflame.
Karibuni sana wana wa Mungu ili nifahamu kabla sijajiingiza huko.
Ndugu zangu jana nilitumiwa message na rafiki yangu akiomba aniunganishe katika biashara ya bidhaa za Oriflame Sweden (kama alivyoziita yeye). Kwa kuwa ni rafiki yangu nilimuuliza endapo zina tija na kama ni inshu serious. Baadae niliunganishwa na kutumiwa taarifa mbalimbali ambazo kwa kweli zilinivutia sana.
Kuna kipindi nilisoma uzi humu unahusu bidhaa za forever living ambapo nilipata elimu kubwa kuhusu bidhaa za forever na nikaamua kukaa pembeni. Hivyo naamini hapa Jamii forum kuna watu waelewa sana na huenda wana ufahamu zaidi na hizi bidhaa za Oriflame.
Karibuni sana wana wa Mungu ili nifahamu kabla sijajiingiza huko.