Ushauri wenu kabla sijajilipua

Ngiama makanda

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2016
Posts
1,552
Reaction score
2,741
Hawa jamaa wapo huku social media nyingine x,Facebook, instagram wanakwenda kwa Jina la dinya smart wanauza nguo kali vibaya mno (na we unaweza kupitia huko social media accounts zao ujionee ).
Baada ya kumpasua muhindi jana nataka ning'arishe kabati langu la nguo kwa kupunguza madekio kadhaa, sasa ndo nikaamua nije kwenu kuulizia je ni kweli wapo au ndo wapigaji wa mitandaoni.
 
Labda useme ni biashara yako unaipigia campaign ila kwa nguo kali balaa hapo hamna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…