Ushauri wenu kuhusu jina nzuri la mtoto wa kiume

Ushauri wenu kuhusu jina nzuri la mtoto wa kiume

Habarini Wana JF wote

Mimi mzima wa Afya, ombilangu kwenu ni kuwaomba ushauri tuu kuhusu mtoto wa kiume nimtarajiae wiki mbili mpaka tatu zijazo

Natarajia kupata mtoto wa kiume, NAOMBENI JINA ZURI LENYE MAANA NZURI KATIKA MAFANIKIO YAKE

NOTE: Hata jina la mchezaji mpira sio mbaya ila awe ulaya,America au legend wa Afrika kwasababu Mimi ningependa mwanangu asakate kabumbu(Kama Sir GOD akimpa kipaji Cha namna hiyo) ,


Karibuni Nduguzanguni kwenye kuchangia,

Ahsanteni kwa yote mtakayo nishauri
Ingependeza sana machoni pa bwana ikiwa utampa huyo mtoto jina la "CORONA"
maana amezaliwa kipindi cha CORONA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hauna kabila? Hamna majina yenye maana nzuri ya kumjenga mwanao ya kikabila lenu?? Kwa nini uendekeze utumwa kwa wazungu na waarabu wa kutafuta majina ambayo hata maana yake huyajui??


Waafrika tunaanzia hapa kupotea[emoji17][emoji17]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini Wana JF wote

Mimi mzima wa Afya, ombilangu kwenu ni kuwaomba ushauri tuu kuhusu mtoto wa kiume nimtarajiae wiki mbili mpaka tatu zijazo

Natarajia kupata mtoto wa kiume, NAOMBENI JINA ZURI LENYE MAANA NZURI KATIKA MAFANIKIO YAKE

NOTE: Hata jina la mchezaji mpira sio mbaya ila awe ulaya,America au legend wa Afrika kwasababu Mimi ningependa mwanangu asakate kabumbu(Kama Sir GOD akimpa kipaji Cha namna hiyo) ,


Karibuni Nduguzanguni kwenye kuchangia,

Ahsanteni kwa yote mtakayo nishauri
mkuu ... au basi tuache kwanza

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom