Nyoka mwenye makengezaa
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 787
- 1,054
mwite Mbowe
Sent using Kirikuu
Sent using Kirikuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingependeza sana machoni pa bwana ikiwa utampa huyo mtoto jina la "CORONA"Habarini Wana JF wote
Mimi mzima wa Afya, ombilangu kwenu ni kuwaomba ushauri tuu kuhusu mtoto wa kiume nimtarajiae wiki mbili mpaka tatu zijazo
Natarajia kupata mtoto wa kiume, NAOMBENI JINA ZURI LENYE MAANA NZURI KATIKA MAFANIKIO YAKE
NOTE: Hata jina la mchezaji mpira sio mbaya ila awe ulaya,America au legend wa Afrika kwasababu Mimi ningependa mwanangu asakate kabumbu(Kama Sir GOD akimpa kipaji Cha namna hiyo) ,
Karibuni Nduguzanguni kwenye kuchangia,
Ahsanteni kwa yote mtakayo nishauri
Malizia SPUNDAMuite Hashim Rungwe.......yani vijana wa siku hizi mna tabu sana, kutoa jina tu la mtoto unakuja kuomba msaada wa ushauri, inawezekana hata mimba ilipatikana kwa msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] atalia Bungeni hyo
mkuu ... au basi tuache kwanzaHabarini Wana JF wote
Mimi mzima wa Afya, ombilangu kwenu ni kuwaomba ushauri tuu kuhusu mtoto wa kiume nimtarajiae wiki mbili mpaka tatu zijazo
Natarajia kupata mtoto wa kiume, NAOMBENI JINA ZURI LENYE MAANA NZURI KATIKA MAFANIKIO YAKE
NOTE: Hata jina la mchezaji mpira sio mbaya ila awe ulaya,America au legend wa Afrika kwasababu Mimi ningependa mwanangu asakate kabumbu(Kama Sir GOD akimpa kipaji Cha namna hiyo) ,
Karibuni Nduguzanguni kwenye kuchangia,
Ahsanteni kwa yote mtakayo nishauri