Wakwe zako hao especially mama ni nomaa. Pole sana. Wamezingua kusema kweli.
Ila namuelewa mkeo kuwakingia kifua wazaz wake saabu nae hawez kuonyesha chuki hadharani kwa wazazi wake.
Inawezekana nyuma ya pazia alimsema mamaake ila ndoivo hawez kuonyesha waziwazi kua walizingua big time.
Nimekusoma bro na nakupa pole kwa yote,ila ushauri wangu kwako samehe yote,na muanze upya,ukisamehe mungu nae atakusamehe makosa yako na utaishi kwa amani,ukiendekezq chuki utaugua ugonjwa mbaya ambao hatimae,utapata maradhi yasiyotibika.maisha ni changamoto na utu na ubinadamu ni namna tunavyokabiliana na changamoto hizo
Dah pole sn kwa misukosuko kaka, sisi tulio kwenye ndoa tunaelewa unachokipia. Ni shida sana kuwa karibu na wakwe. Ni bora kuwa mbali nao kbs. Hapo upo sawa kabisa kwa ulichokifanya kutokwenda tena wala kutokua na story nao. Next time kumbuka ni marufuku kujenga ukweni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.