Nimekusoma bro na nakupa pole kwa yote,ila ushauri wangu kwako samehe yote,na muanze upya,ukisamehe mungu nae atakusamehe makosa yako na utaishi kwa amani,ukiendekezq chuki utaugua ugonjwa mbaya ambao hatimae,utapata maradhi yasiyotibika.maisha ni changamoto na utu na ubinadamu ni namna tunavyokabiliana na changamoto hizo