Ushauri wenu kwa huyu binti

Ushauri wenu kwa huyu binti

Kwa nini mkuu nawe ulibadilisha gia angani wakati mwanzoni ulitangaza nia ?
 
Ulishampa tamaa mwenzako ulitegemea nn kwa wadada zetu hawa wa kibongo.
 
Huyo umri utakuwa unamtupa mkono so anataka awahi kabla haijawa jioni kabisa.
 
Habari zenu wake kwa waume,
Ni binti mmoja ivi ambaye tulikutana naye hapa DSM, tulikutana naye 2012, kipindi alikuwa akisoma shule ya kunduchi girls, likizo alikuwa akija kwa ndugu zake ambapo ndo karibu na home.

Kiukweli alikuwa yuko njema sana, mimi mwenyewe alinivutia sana, lakini kutona na hofu ya mungu sikumwambia kuhusu upendo wangu kwake na yeye vilevile alikuwa ni mtu wa dini sana kwa hiyo isingekuwa rahisi kumuasi mungu

Baada ya hapo tukapoteana kabisa, yeye akaenda chuo flani ivi iringa na mimi Moro, yeye ni kabila tofauti na mimi. Yeye kwa sasa yupo kwao mkoani. Kutokana na kipoteana mda mrefu nikaomba namba yake kwa ndugu zake wakanipatia nikamcall nikamwambia Mimi flani akanielewa, nikamwambia mbona umeadimika ivi?,

Akanambia likizi alikuwa anakuja, na alikuwa akifika hadi home na kuniuliza wakamwambia bado sijafunga chuo , ama likizo nimeenda kwa ndugu kusalimia. Akambia yeye kuna mwanafunzi wa huko kwao jirani yao aliwahi muulizia flani unamfahamu (yaani Mimi), akamwambia hapana.

Sasa ikatokea nikamuuliza vipi ushaolewa akasema hapana, nikamwambia nataka nikuoe akaguna , akasema ngoja afikirie. Nikawa namtafuta mimi tu , nikachoka nikampotezea na mimi. Akarudi kwa spidi mbaya mno. Sasa baada ya vile vitimbi vyake moyo wangu ukaghairi tena kumuoa.

Mara ya kwanza aliniuliza utanioa lini nikamwambia uwezekanao wa kukuoa ni mdogo sana, alilia sana. Jana tena kanipigia simu kanambia anatamani sana kuwa kwake hivyo basi nimuoe, nikamwambia uwezekano wa kukuoa ni 10%, kalia sana, kanambia anavyonipenda kama sitomuoa hatotaka tena kuolewa na mwanamme yoyote au atakaa zaidi ya miaka 3, ndo afikirie kuolewa tena.

Nishamwambia ukweli kuhusu mimi lakini bado tu hanielewi ,
Nitumie mbinu gani ili anielewe labda wakuu?
Manake ananikanganya kwelikweli.
Karibuni,


By
Dimaa.
mungu au Mungu? sijakuelewa apo chief
 
Daa... Wanaume hisia zenu huwa ni kama mabasi ya mwendokasi ... Wakaka na ninyi mkitongoza mkakubaliwa mapema mnasema malaya wa kugegeda, mdada akikuzungusha hisia zinabadilika mweee! Wadada na sisi kujifanya sitaki nataka mpaka hisia za wakaka zinabadilika
Huu ndio uhalisia ila sijajua ni kwanini. Mwanamke akinikubali haraka huwa na kuwa na wasiwasi mkubwa ila akinizungusha ikifika hatua nikasema basi huwa sigeuki nyuma. Mungu nisaidie.
 
10% acceleration rate itafika 100. Unasema wewe ndie ulimtafuta? Lengo? Uko wapi?Je umeolewa? Sasa mkuu twambie lengo la maswali yako ilikuwa nn?
 
10% acceleration rate itafika 100. Unasema wewe ndie ulimtafuta? Lengo? Uko wapi?Je umeolewa? Sasa mkuu twambie lengo la maswali yako ilikuwa nn?
Mimi naoa, siyo kuolewa, lengo lilikuwa kumuoa, nilighairi baada yakuona kama vile namlazimisha
 
Huu ndio uhalisia ila sijajua ni kwanini. Mwanamke akinikubali haraka huwa na kuwa na wasiwasi mkubwa ila akinizungusha ikifika hatua nikasema basi huwa sigeuki nyuma. Mungu nisaidie.
Mnashangaza sana.
 
Habari zenu wake kwa waume,
Ni binti mmoja ivi ambaye tulikutana naye hapa DSM, tulikutana naye 2012, kipindi alikuwa akisoma shule ya kunduchi girls, likizo alikuwa akija kwa ndugu zake ambapo ndo karibu na home.

Kiukweli alikuwa yuko njema sana, mimi mwenyewe alinivutia sana, lakini kutona na hofu ya mungu sikumwambia kuhusu upendo wangu kwake na yeye vilevile alikuwa ni mtu wa dini sana kwa hiyo isingekuwa rahisi kumuasi mungu

Baada ya hapo tukapoteana kabisa, yeye akaenda chuo flani ivi iringa na mimi Moro, yeye ni kabila tofauti na mimi. Yeye kwa sasa yupo kwao mkoani. Kutokana na kipoteana mda mrefu nikaomba namba yake kwa ndugu zake wakanipatia nikamcall nikamwambia Mimi flani akanielewa, nikamwambia mbona umeadimika ivi?,

Akanambia likizi alikuwa anakuja, na alikuwa akifika hadi home na kuniuliza wakamwambia bado sijafunga chuo , ama likizo nimeenda kwa ndugu kusalimia. Akambia yeye kuna mwanafunzi wa huko kwao jirani yao aliwahi muulizia flani unamfahamu (yaani Mimi), akamwambia hapana.

Sasa ikatokea nikamuuliza vipi ushaolewa akasema hapana, nikamwambia nataka nikuoe akaguna , akasema ngoja afikirie. Nikawa namtafuta mimi tu , nikachoka nikampotezea na mimi. Akarudi kwa spidi mbaya mno. Sasa baada ya vile vitimbi vyake moyo wangu ukaghairi tena kumuoa.

Mara ya kwanza aliniuliza utanioa lini nikamwambia uwezekanao wa kukuoa ni mdogo sana, alilia sana. Jana tena kanipigia simu kanambia anatamani sana kuwa kwake hivyo basi nimuoe, nikamwambia uwezekano wa kukuoa ni 10%, kalia sana, kanambia anavyonipenda kama sitomuoa hatotaka tena kuolewa na mwanamme yoyote au atakaa zaidi ya miaka 3, ndo afikirie kuolewa tena.

Nishamwambia ukweli kuhusu mimi lakini bado tu hanielewi ,
Nitumie mbinu gani ili anielewe labda wakuu?
Manake ananikanganya kwelikweli.
Karibuni,


By
Dimaa.
Hebu kuwa kwanza mkuuuu pambana na maisha bado una uwanja mpana
 
Habari zenu wake kwa waume,
Ni binti mmoja ivi ambaye tulikutana naye hapa DSM, tulikutana naye 2012, kipindi alikuwa akisoma shule ya kunduchi girls, likizo alikuwa akija kwa ndugu zake ambapo ndo karibu na home.

Kiukweli alikuwa yuko njema sana, mimi mwenyewe alinivutia sana, lakini kutona na hofu ya mungu sikumwambia kuhusu upendo wangu kwake na yeye vilevile alikuwa ni mtu wa dini sana kwa hiyo isingekuwa rahisi kumuasi mungu

Baada ya hapo tukapoteana kabisa, yeye akaenda chuo flani ivi iringa na mimi Moro, yeye ni kabila tofauti na mimi. Yeye kwa sasa yupo kwao mkoani. Kutokana na kipoteana mda mrefu nikaomba namba yake kwa ndugu zake wakanipatia nikamcall nikamwambia Mimi flani akanielewa, nikamwambia mbona umeadimika ivi?,

Akanambia likizi alikuwa anakuja, na alikuwa akifika hadi home na kuniuliza wakamwambia bado sijafunga chuo , ama likizo nimeenda kwa ndugu kusalimia. Akambia yeye kuna mwanafunzi wa huko kwao jirani yao aliwahi muulizia flani unamfahamu (yaani Mimi), akamwambia hapana.

Sasa ikatokea nikamuuliza vipi ushaolewa akasema hapana, nikamwambia nataka nikuoe akaguna , akasema ngoja afikirie. Nikawa namtafuta mimi tu , nikachoka nikampotezea na mimi. Akarudi kwa spidi mbaya mno. Sasa baada ya vile vitimbi vyake moyo wangu ukaghairi tena kumuoa.

Mara ya kwanza aliniuliza utanioa lini nikamwambia uwezekanao wa kukuoa ni mdogo sana, alilia sana. Jana tena kanipigia simu kanambia anatamani sana kuwa kwake hivyo basi nimuoe, nikamwambia uwezekano wa kukuoa ni 10%, kalia sana, kanambia anavyonipenda kama sitomuoa hatotaka tena kuolewa na mwanamme yoyote au atakaa zaidi ya miaka 3, ndo afikirie kuolewa tena.

Nishamwambia ukweli kuhusu mimi lakini bado tu hanielewi ,
Nitumie mbinu gani ili anielewe labda wakuu?
Manake ananikanganya kwelikweli.
Karibuni,


By
Dimaa.
Ulimlaaa
 
Back
Top Bottom