Ushauri wenu kwenye kuagiza hii gari wakuu.

Ushauri wenu kwenye kuagiza hii gari wakuu.

Gari la nini lote hilo babu? Chukua KI-IST chako au Carina kwa misele michache ya mjini then pesa nyingine kama uko nayo nyingi chukua ushauri huu na uje unishukuru kwa bata utakalo kula hapa nchini

[emoji116]
Nunua Honda Africa Twin motorcycle 1250cc

Yamaha Super Tenere 1200cc/ 700cc

Anza kua mtalii wa ndani,kitu inakutoa Dar to Arusha chap kama ulikuwepo,unakula vyako then chap unazama Mwanza kwa mwendo wa ndege unakula SATO tuliiiiivu kabisa ukiwa huna haraka kisha chap unageuka Dar kama ulikuwepo kitaa kumbe umevuka mikoa

Ya nini ligari lote hilo ambalo analo kila mtu mjini mpaka tubinti tudogo twa bank huko tumebeba mkopo tukanunua na wewe unafata ushauli jf kweli kwa gari lenye kubugia mafuta

Nisamehe kama umekwazika lakini hilo ndo bata la kweli.

View attachment 1712847
 
Gari la nini lote hilo babu? Chukua KI-IST chako au Carina kwa misele michache ya mjini then pesa nyingine kama uko nayo nyingi chukua ushauri huu na uje unishukuru kwa bata utakalo kula hapa nchini

[emoji116]
Nunua Honda Africa Twin motorcycle 1250cc

Yamaha Super Tenere 1200cc/ 700cc

Anza kua mtalii wa ndani,kitu inakutoa Dar to Arusha chap kama ulikuwepo,unakula vyako then chap unazama Mwanza kwa mwendo wa ndege unakula SATO tuliiiiivu kabisa ukiwa huna haraka kisha chap unageuka Dar kama ulikuwepo kitaa kumbe umevuka mikoa

Ya nini ligari lote hilo ambalo analo kila mtu mjini mpaka tubinti tudogo twa bank huko tumebeba mkopo tukanunua na wewe unafata ushauli jf kweli kwa gari lenye kubugia mafuta

Nisamehe kama umekwazika lakini hilo ndo bata la kweli.

View attachment 1712847
Mkuu kwenye maisha yangu yote sijawahi kusikia gari inayobugia supu, zote ninabugia mafuta ama gas ama umeme.
 
Wakuu, naagiza gari hapa kutoka Japan, Harrier tako la nyani ya 2008 kwa usd 5700, km 61k, je nilipie ama napigwa.

Naomba uzoefu wenu kwenye hili.

Ahsante
Kama ni kila kitu kasoro plate number ni sawa ila kama ni CIF mmh...nina mashaka kidogo
 
Hiyo bei haupigwi Mkuu,Kwanza milage yake bado IPO chini km 61 hiyo gari ni mpya Sana..
Ingawa umeshindwa kufafanua vizuri kama hiyo bei ya USD 5700 ni CIF au la.

Pia Kwa harrier ya 2008 huku mtaani tunaita new model tofauti na zile za 2003-2007 na kama umeagiza Kwa kampuni za makanjanja ni rahisi Sana kushusha milage ya gari
 
Wakuu, naagiza gari hapa kutoka Japan, Harrier tako la nyani ya 2008 kwa usd 5700, km 61k, je nilipie ama napigwa.

Naomba uzoefu wenu kwenye hili.

Ahsante
Hiyo bei ni reasonable ila ukumbuke kuna gharama za ushuru, usajili na bima.
 
Gari la nini lote hilo babu? Chukua KI-IST chako au Carina kwa misele michache ya mjini then pesa nyingine kama uko nayo nyingi chukua ushauri huu na uje unishukuru kwa bata utakalo kula hapa nchini

[emoji116]
Nunua Honda Africa Twin motorcycle 1250cc

Yamaha Super Tenere 1200cc/ 700cc

Anza kua mtalii wa ndani,kitu inakutoa Dar to Arusha chap kama ulikuwepo,unakula vyako then chap unazama Mwanza kwa mwendo wa ndege unakula SATO tuliiiiivu kabisa ukiwa huna haraka kisha chap unageuka Dar kama ulikuwepo kitaa kumbe umevuka mikoa

Ya nini ligari lote hilo ambalo analo kila mtu mjini mpaka tubinti tudogo twa bank huko tumebeba mkopo tukanunua na wewe unafata ushauli jf kweli kwa gari lenye kubugia mafuta

Nisamehe kama umekwazika lakini hilo ndo bata la kweli.

View attachment 1712847
Akichukua Ist mtoto wake akaililia nini kitatokea? Au Ist sio baby walker?😂😂😂
 
Nunua voltz, premio ili usave hela wakati wa manunuz lkn pia running cost.

Hela nyingine nenda mafinga kawapandie watoto miti ya nguzo, parachichi.

Baada ya miaka 5 una uwezo wa kuwanunulia gari watoto na ukawa na uhakka wa kipato kila mwak.

Au chukua tu tako la nyani utambie mtaani!
 
Hiyo bei haupigwi Mkuu,Kwanza milage yake bado IPO chini km 61 hiyo gari ni mpya Sana..
Ingawa umeshindwa kufafanua vizuri kama hiyo bei ya USD 5700 ni CIF au la.

Pia Kwa harrier ya 2008 huku mtaani tunaita new model tofauti na zile za 2003-2007 na kama umeagiza Kwa kampuni za makanjanja ni rahisi Sana kushusha milage ya gari
CIF mkuu.
 
Ulizia ushuru wake kwanza na other port charges kabla hujaamua kwakuwa inaweza isipungue usd 3000
Ushuru wake ni zaidi ya 12m, sina shida kuhusu ushuru wa hapa Bongo, ninataka kujua tu kuhusu hiyo bei ya CIF.
 
Screenshot_20210227-093115_Chrome.jpg

Ushuru wake TRA.
 
Gari la nini lote hilo babu? Chukua KI-IST chako au Carina kwa misele michache ya mjini then pesa nyingine kama uko nayo nyingi chukua ushauri huu na uje unishukuru kwa bata utakalo kula hapa nchini

[emoji116]
Nunua Honda Africa Twin motorcycle 1250cc

Yamaha Super Tenere 1200cc/ 700cc

Anza kua mtalii wa ndani,kitu inakutoa Dar to Arusha chap kama ulikuwepo,unakula vyako then chap unazama Mwanza kwa mwendo wa ndege unakula SATO tuliiiiivu kabisa ukiwa huna haraka kisha chap unageuka Dar kama ulikuwepo kitaa kumbe umevuka mikoa

Ya nini ligari lote hilo ambalo analo kila mtu mjini mpaka tubinti tudogo twa bank huko tumebeba mkopo tukanunua na wewe unafata ushauli jf kweli kwa gari lenye kubugia mafuta

Nisamehe kama umekwazika lakini hilo ndo bata la kweli.

View attachment 1712847
We jamaaa unakosea sana

Sio kwamba hakuona bodaboda hapana
Aliziona ila bado aka ignore maana yake ni kwamba hataki hio bodaboda yako sijui 700cc hapana
Yeye anataka harrier hata mimi nina idea zangu kwa hio hela yake ila namuelewa mtu na mawazo yake

Ndugu jaribu kujibu kutokana na ulivoulizwa utaepuka mengi

"Nunua ki ist"
Hujui hata barabara za alipo mtoa mada ushatoa ushauri wako



JIBU SWALI KAMA ULIVOULIZWA
 
Back
Top Bottom