Gari la nini lote hilo babu? Chukua KI-IST chako au Carina kwa misele michache ya mjini then pesa nyingine kama uko nayo nyingi chukua ushauri huu na uje unishukuru kwa bata utakalo kula hapa nchini
[emoji116]
Nunua Honda Africa Twin motorcycle 1250cc
Yamaha Super Tenere 1200cc/ 700cc
Anza kua mtalii wa ndani,kitu inakutoa Dar to Arusha chap kama ulikuwepo,unakula vyako then chap unazama Mwanza kwa mwendo wa ndege unakula SATO tuliiiiivu kabisa ukiwa huna haraka kisha chap unageuka Dar kama ulikuwepo kitaa kumbe umevuka mikoa
Ya nini ligari lote hilo ambalo analo kila mtu mjini mpaka tubinti tudogo twa bank huko tumebeba mkopo tukanunua na wewe unafata ushauli jf kweli kwa gari lenye kubugia mafuta
Nisamehe kama umekwazika lakini hilo ndo bata la kweli.
View attachment 1712847