Ushauri wenu: Nataka nifungue duka la dawa za binadam

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,471
Habari za majukumu wakuu.

Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.
Nimepata wazo la haraka haraka kufanya hivyo baada ya kupiga stori mbili tatu na mtu ambae amenambia nitafute frem ya kuja kufanya hivyo.
Alienipa wazo la kufanya hivyo hana uzoefu wa kazi hiyo, ila kanambia linalipa sana.

Nataka nianze na mtaji wa million 2.5 ninachohitaji kutoka kwenu munambie changamoto zake zinakuwaje.
Faida na hasara kwa ujumla inakuaje kwa wale wazoefu nawaomba mnisaidie hili.
Karibuni.
 
upo region gani ndugu?
 
Mkuu hii biashara inalipa hasa maeneo ya vijijini na kwa upande wa faida kama upo location nzuri kwa siku unaweza ingiza faida ya 40 elfu au zaidi ila hasa hasa maeneo ya vijijini ndo utaifurahiya biashara hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…