Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Habari za majukumu wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.
Nimepata wazo la haraka haraka kufanya hivyo baada ya kupiga stori mbili tatu na mtu ambae amenambia nitafute frem ya kuja kufanya hivyo.
Alienipa wazo la kufanya hivyo hana uzoefu wa kazi hiyo, ila kanambia linalipa sana.
Nataka nianze na mtaji wa million 2.5 ninachohitaji kutoka kwenu munambie changamoto zake zinakuwaje.
Faida na hasara kwa ujumla inakuaje kwa wale wazoefu nawaomba mnisaidie hili.
Karibuni.
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu.
Nimepata wazo la haraka haraka kufanya hivyo baada ya kupiga stori mbili tatu na mtu ambae amenambia nitafute frem ya kuja kufanya hivyo.
Alienipa wazo la kufanya hivyo hana uzoefu wa kazi hiyo, ila kanambia linalipa sana.
Nataka nianze na mtaji wa million 2.5 ninachohitaji kutoka kwenu munambie changamoto zake zinakuwaje.
Faida na hasara kwa ujumla inakuaje kwa wale wazoefu nawaomba mnisaidie hili.
Karibuni.