Ushauri wenu ndugu zangu

Ushauri wenu ndugu zangu

Mwanamke ameletwa duniani kwa malengo mawili tu:

1. Kutombwa
2. Kuzaa.

Mengine ni ziada.
πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘ŠπŸΏπŸ‘‰πŸΏπŸ™Œ
 
Mimi ni Mama wa mtoto mmoja, sijaolewa ila nina kazi yangu nzuri tu ni Mhasibu katika Halmashauri moja hivi, kipato changu ni kizuri tena sana. Kuna mwanaume niko naye huu ni mwaka wapili ananipenda na mimi nampenda. Yeye naye ni mfanayakzi lakini katika kampuni binafsi.

Kikipato namzidi hilo kwangu si tatizo, shida nikuwa, tangu kuwa naye kwenye mahusiano hajawahi kunipeleka kwake hata kwa bahati mbaya, kila sikua anakuja kwangu na nikimuambia mambo ya kunipeleka kwake ananiambia muda bado mpaka tujuane vizuri.

Sijui chochote kuhusu yeye ila ananiambia hajaoa, kuna rafiki yake mmoja tu ndiyo kanitambulisha kwake na mdogo wake wakike, wote wananiambia kuwa bado hajaoa. Sasa shida nikuwa, kuna kipindi mwaka jana mwishoni nilikua naangalia kwenye simu nikakuta kapiga picha ya vyeti vya ndoa ambavyo vina majina yake, nikamuuliza vipi mbona kama una ndoa akanijibu achana na mambo ya picha utachanganyikiwa.

Basi mimi nilikaa kimya kwani lainihakikishia kuwa ni picha tu lakini hajaoa. Lakini miezi miwili iliyopita nilikua kwenye mtandao, mara nikakuta kuna mwanamke kampost, kaandika maneno mengi sijui wewe ndiyo maisha yangu, pumzi yangu na mambo kibao kumsifia huyo mwanamke.

Wamepiga naye picha nyingi tu yaani zile za studio, maeneo mbalimbali na ni kama anampost mara kwa mara kama wana familia. Mimi kwenye hiyo akaunti ameniblock ila hajui kama nina akaunti nyingine fekero naitumia kufuatilia umbea.

Nimemuuliza ananiambia kwani unakosa nini si nakuridhisha achana na mitandao. Hajawahi kunipa hata shilingi kumi mimi ndiyo nampa kwani ana kipato kizuri ila nimemzidi, namsaidia sana kama mume wangu ila nina hofu, hivi anaweza kuwa ni mume wa mtu kweli ananidanganya, nashindwa kuelewa kwani kila nikimuuliza ananikatalia!
Duuh
 
Hapo shtuka kabla hujapigwa na kitu kizito kichwani huyo ni tapeli anafwata maslahi tu hapo
Mimi ni Mama wa mtoto mmoja, sijaolewa ila nina kazi yangu nzuri tu ni Mhasibu katika Halmashauri moja hivi, kipato changu ni kizuri tena sana. Kuna mwanaume niko naye huu ni mwaka wapili ananipenda na mimi nampenda. Yeye naye ni mfanayakzi lakini katika kampuni binafsi.

Kikipato namzidi hilo kwangu si tatizo, shida nikuwa, tangu kuwa naye kwenye mahusiano hajawahi kunipeleka kwake hata kwa bahati mbaya, kila sikua anakuja kwangu na nikimuambia mambo ya kunipeleka kwake ananiambia muda bado mpaka tujuane vizuri.

Sijui chochote kuhusu yeye ila ananiambia hajaoa, kuna rafiki yake mmoja tu ndiyo kanitambulisha kwake na mdogo wake wakike, wote wananiambia kuwa bado hajaoa. Sasa shida nikuwa, kuna kipindi mwaka jana mwishoni nilikua naangalia kwenye simu nikakuta kapiga picha ya vyeti vya ndoa ambavyo vina majina yake, nikamuuliza vipi mbona kama una ndoa akanijibu achana na mambo ya picha utachanganyikiwa.

Basi mimi nilikaa kimya kwani lainihakikishia kuwa ni picha tu lakini hajaoa. Lakini miezi miwili iliyopita nilikua kwenye mtandao, mara nikakuta kuna mwanamke kampost, kaandika maneno mengi sijui wewe ndiyo maisha yangu, pumzi yangu na mambo kibao kumsifia huyo mwanamke.

Wamepiga naye picha nyingi tu yaani zile za studio, maeneo mbalimbali na ni kama anampost mara kwa mara kama wana familia. Mimi kwenye hiyo akaunti ameniblock ila hajui kama nina akaunti nyingine fekero naitumia kufuatilia umbea.

Nimemuuliza ananiambia kwani unakosa nini si nakuridhisha achana na mitandao. Hajawahi kunipa hata shilingi kumi mimi ndiyo nampa kwani ana kipato kizuri ila nimemzidi, namsaidia sana kama mume wangu ila nina hofu, hivi anaweza kuwa ni mume wa mtu kweli ananidanganya, nashindwa kuelewa kwani kila nikimuuliza ananikatalia!
 
Mimi ni Mama wa mtoto mmoja, sijaolewa ila nina kazi yangu nzuri tu ni Mhasibu katika Halmashauri moja hivi, kipato changu ni kizuri tena sana. Kuna mwanaume niko naye huu ni mwaka wapili ananipenda na mimi nampenda. Yeye naye ni mfanayakzi lakini katika kampuni binafsi.

Kikipato namzidi hilo kwangu si tatizo, shida nikuwa, tangu kuwa naye kwenye mahusiano hajawahi kunipeleka kwake hata kwa bahati mbaya, kila sikua anakuja kwangu na nikimuambia mambo ya kunipeleka kwake ananiambia muda bado mpaka tujuane vizuri.

Sijui chochote kuhusu yeye ila ananiambia hajaoa, kuna rafiki yake mmoja tu ndiyo kanitambulisha kwake na mdogo wake wakike, wote wananiambia kuwa bado hajaoa. Sasa shida nikuwa, kuna kipindi mwaka jana mwishoni nilikua naangalia kwenye simu nikakuta kapiga picha ya vyeti vya ndoa ambavyo vina majina yake, nikamuuliza vipi mbona kama una ndoa akanijibu achana na mambo ya picha utachanganyikiwa.

Basi mimi nilikaa kimya kwani lainihakikishia kuwa ni picha tu lakini hajaoa. Lakini miezi miwili iliyopita nilikua kwenye mtandao, mara nikakuta kuna mwanamke kampost, kaandika maneno mengi sijui wewe ndiyo maisha yangu, pumzi yangu na mambo kibao kumsifia huyo mwanamke.

Wamepiga naye picha nyingi tu yaani zile za studio, maeneo mbalimbali na ni kama anampost mara kwa mara kama wana familia. Mimi kwenye hiyo akaunti ameniblock ila hajui kama nina akaunti nyingine fekero naitumia kufuatilia umbea.

Nimemuuliza ananiambia kwani unakosa nini si nakuridhisha achana na mitandao. Hajawahi kunipa hata shilingi kumi mimi ndiyo nampa kwani ana kipato kizuri ila nimemzidi, namsaidia sana kama mume wangu ila nina hofu, hivi anaweza kuwa ni mume wa mtu kweli ananidanganya, nashindwa kuelewa kwani kila nikimuuliza ananikatalia!
kwa nini unang'ag'ania bomu ambalo tayari lina kila dalili ya kukulipukia madam?

nashauri kujiepusha na hiyo fedheha inayokupotezea muda,
unayo nafasi huru ya kutafuta mwenza mwaminifu, muwazi na ambae hakufichi jambo.

kumbuka,
mtu anaejiita mpenzi au mchumba wako hawezi kukuficha anapoishi, hawezi kukufisha ndungu, jamaa na marafiki zake, lakini pia hana haja ya kukublock kwenye palatfom yoyote ile,

ni afadhali kuishi single bila hadaa za kizombi kama za huyo muungwana anaepritend kukupenda kumbe anakupotezea muda tu na kukufanya uwe damaged good, kabichi bovu lililooza tupa kule :NoGodNo:
 
Mimi ni Mama wa mtoto mmoja, sijaolewa ila nina kazi yangu nzuri tu ni Mhasibu katika Halmashauri moja hivi, kipato changu ni kizuri tena sana. Kuna mwanaume niko naye huu ni mwaka wapili ananipenda na mimi nampenda. Yeye naye ni mfanayakzi lakini katika kampuni binafsi.

Kikipato namzidi hilo kwangu si tatizo, shida nikuwa, tangu kuwa naye kwenye mahusiano hajawahi kunipeleka kwake hata kwa bahati mbaya, kila sikua anakuja kwangu na nikimuambia mambo ya kunipeleka kwake ananiambia muda bado mpaka tujuane vizuri.

Sijui chochote kuhusu yeye ila ananiambia hajaoa, kuna rafiki yake mmoja tu ndiyo kanitambulisha kwake na mdogo wake wakike, wote wananiambia kuwa bado hajaoa. Sasa shida nikuwa, kuna kipindi mwaka jana mwishoni nilikua naangalia kwenye simu nikakuta kapiga picha ya vyeti vya ndoa ambavyo vina majina yake, nikamuuliza vipi mbona kama una ndoa akanijibu achana na mambo ya picha utachanganyikiwa.

Basi mimi nilikaa kimya kwani lainihakikishia kuwa ni picha tu lakini hajaoa. Lakini miezi miwili iliyopita nilikua kwenye mtandao, mara nikakuta kuna mwanamke kampost, kaandika maneno mengi sijui wewe ndiyo maisha yangu, pumzi yangu na mambo kibao kumsifia huyo mwanamke.

Wamepiga naye picha nyingi tu yaani zile za studio, maeneo mbalimbali na ni kama anampost mara kwa mara kama wana familia. Mimi kwenye hiyo akaunti ameniblock ila hajui kama nina akaunti nyingine fekero naitumia kufuatilia umbea.

Nimemuuliza ananiambia kwani unakosa nini si nakuridhisha achana na mitandao. Hajawahi kunipa hata shilingi kumi mimi ndiyo nampa kwani ana kipato kizuri ila nimemzidi, namsaidia sana kama mume wangu ila nina hofu, hivi anaweza kuwa ni mume wa mtu kweli ananidanganya, nashindwa kuelewa kwani kila nikimuuliza ananikatalia!u
KIufup uyo anamagusiano yake au make kabsa ila wewe nikistobeee wakeeee sababu wanaume hatuna tabia ya kuficha mambo mkaznie akuoe humuone Kisha unakuja nishukuru
 
Mimi ni Mama wa mtoto mmoja, sijaolewa ila nina kazi yangu nzuri tu ni Mhasibu katika Halmashauri moja hivi, kipato changu ni kizuri tena sana. Kuna mwanaume niko naye huu ni mwaka wapili ananipenda na mimi nampenda. Yeye naye ni mfanayakzi lakini katika kampuni binafsi.

Kikipato namzidi hilo kwangu si tatizo, shida nikuwa, tangu kuwa naye kwenye mahusiano hajawahi kunipeleka kwake hata kwa bahati mbaya, kila sikua anakuja kwangu na nikimuambia mambo ya kunipeleka kwake ananiambia muda bado mpaka tujuane vizuri.

Sijui chochote kuhusu yeye ila ananiambia hajaoa, kuna rafiki yake mmoja tu ndiyo kanitambulisha kwake na mdogo wake wakike, wote wananiambia kuwa bado hajaoa. Sasa shida nikuwa, kuna kipindi mwaka jana mwishoni nilikua naangalia kwenye simu nikakuta kapiga picha ya vyeti vya ndoa ambavyo vina majina yake, nikamuuliza vipi mbona kama una ndoa akanijibu achana na mambo ya picha utachanganyikiwa.

Basi mimi nilikaa kimya kwani lainihakikishia kuwa ni picha tu lakini hajaoa. Lakini miezi miwili iliyopita nilikua kwenye mtandao, mara nikakuta kuna mwanamke kampost, kaandika maneno mengi sijui wewe ndiyo maisha yangu, pumzi yangu na mambo kibao kumsifia huyo mwanamke.

Wamepiga naye picha nyingi tu yaani zile za studio, maeneo mbalimbali na ni kama anampost mara kwa mara kama wana familia. Mimi kwenye hiyo akaunti ameniblock ila hajui kama nina akaunti nyingine fekero naitumia kufuatilia umbea.

Nimemuuliza ananiambia kwani unakosa nini si nakuridhisha achana na mitandao. Hajawahi kunipa hata shilingi kumi mimi ndiyo nampa kwani ana kipato kizuri ila nimemzidi, namsaidia sana kama mume wangu ila nina hofu, hivi anaweza kuwa ni mume wa mtu kweli ananidanganya, nashindwa kuelewa kwani kila nikimuuliza ananikatalia!
Acha kucomplicate maisha, huyo sio wako tafuta mwanaume mwengine.
 
Kwa hii mada halimshauri ya kichwa chako haijakaa vizuri
Itakuwa jamaa ana mgegeda vizuri. Nothing confuses a woman more than a gud mgegedo.
Maana hapo kila kitu kipo wazi sema sasa akiwazia kuupoteza mjegeje akili ina changanyikiwa
 
Kwako amefata vitu viwili

1. Utelezi wa bure kwa single mother
2. Pesa za matumizi kwa ajili ya familia yake
 
Mimi ni Mama wa mtoto mmoja, sijaolewa ila nina kazi yangu nzuri tu ni Mhasibu katika Halmashauri moja hivi, kipato changu ni kizuri tena sana. Kuna mwanaume niko naye huu ni mwaka wapili ananipenda na mimi nampenda. Yeye naye ni mfanayakzi lakini katika kampuni binafsi.

Kikipato namzidi hilo kwangu si tatizo, shida nikuwa, tangu kuwa naye kwenye mahusiano hajawahi kunipeleka kwake hata kwa bahati mbaya, kila sikua anakuja kwangu na nikimuambia mambo ya kunipeleka kwake ananiambia muda bado mpaka tujuane vizuri.

Sijui chochote kuhusu yeye ila ananiambia hajaoa, kuna rafiki yake mmoja tu ndiyo kanitambulisha kwake na mdogo wake wakike, wote wananiambia kuwa bado hajaoa. Sasa shida nikuwa, kuna kipindi mwaka jana mwishoni nilikua naangalia kwenye simu nikakuta kapiga picha ya vyeti vya ndoa ambavyo vina majina yake, nikamuuliza vipi mbona kama una ndoa akanijibu achana na mambo ya picha utachanganyikiwa.

Basi mimi nilikaa kimya kwani lainihakikishia kuwa ni picha tu lakini hajaoa. Lakini miezi miwili iliyopita nilikua kwenye mtandao, mara nikakuta kuna mwanamke kampost, kaandika maneno mengi sijui wewe ndiyo maisha yangu, pumzi yangu na mambo kibao kumsifia huyo mwanamke.

Wamepiga naye picha nyingi tu yaani zile za studio, maeneo mbalimbali na ni kama anampost mara kwa mara kama wana familia. Mimi kwenye hiyo akaunti ameniblock ila hajui kama nina akaunti nyingine fekero naitumia kufuatilia umbea.

Nimemuuliza ananiambia kwani unakosa nini si nakuridhisha achana na mitandao. Hajawahi kunipa hata shilingi kumi mimi ndiyo nampa kwani ana kipato kizuri ila nimemzidi, namsaidia sana kama mume wangu ila nina hofu, hivi anaweza kuwa ni mume wa mtu kweli ananidanganya, nashindwa kuelewa kwani kila nikimuuliza ananikatalia!
Hapo ndo unapokosea usimwite mume wako huyo ana mke mwengine anakupotezea muda tu na utajuta soon,hana mapenzi ya kweli, Mommy njoo kwangu hutojuta inbox me japo sina kitu
 
Itakuwa jamaa ana mgegeda vizuri. Nothing confuses a woman more than a gud mgegedo.
Maana hapo kila kitu kipo wazi sema sasa akiwazia kuupoteza mjegeje akili ina changanyikiwa
Mimi siku zote nasemaga ukitaka upendwe mpka kero kuwa freak kwa bed . Mtoto atalia kukuacha hakuachi
 
Back
Top Bottom