Ushauri wenu tafadhali, nahitaji kufanya biashara

raiswenu

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2018
Posts
848
Reaction score
1,535
Hii ni kutokana na kufungwa vyuo nipo tu hapa Bagamoyo nikisubiria vyuo vifunguliwe ingawaje sina uhakika kama itakuwa mapema.

Nina kama 500,000/= kwa wazoefu wa biashara na wenyeji wa maeneo haya, ni biashara gani naweza kufanya kwa kutumia hicho kiasi?

Ushauri wenu tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nunua mbuzi minadani (Fukayosi) kisha uza Bagamoyo mjini kwenye bar za hapo au anzisha kijiwe chako cha mbuzi choma.utanikumbuka siku


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa uswahili wa Bagamoyo, uza madera/la na vijola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…