Webbcoffee
Member
- Feb 8, 2018
- 14
- 3
Wakuu habarini za wakati huu. Mapenzi mubashara ndugu zangu watafutaji/wajasiriamali/wafanyabiashara yasiwe tu kwa wapenzi wetu bali hata sisi watafutaji tupendane sisi kwa sisi hasa kwa kipindi hiki.
Leo nimekuja kwenu naomba ushauri utakaonisaidia niendelee hapa nilipokwama. Naomba ushauri hapa kwasababu JF napathamini na kupaheshimu kwa michango ya wanachama wake tofauti na mitandao mengine(much credits to you guys).
Katika kutafuta namna ya kupambana na maisha nilifikiria fursa moja ambayo niliona kwa Dar haijachangamkiwa. Hii fursa inafanywa ila naona inafanywa locally saana. Na fursa yenyewe ni coffee business(yes, I'm exposing it). Mtaani ukipita kila kona utakutana na mbeba birika la kahawa na wanauza 100 na nyakati za jioni inanyweka na inapedwa saana vijiweni.
Akili yangu iliniambia hii biashara haikui kwasababu wanaoifanya sio wabunifu. Hawajajipanga. wanaifanya kiuchafuuchafu ndiyo maana wanywaji watu wa chini(mtanisamehe hapa).
Nikaja na wazo la kuiboresha hasa kwa kuanza tu japo na mtaji mdogo nifungue mobile shop or bicycle coffee cart(nimeziona mbele saana). Ni brand bidhaa yangu niweze kuiuza kwa wanywaji kuanzia middle class kwenda juu (price bado). Najua kuna restraurants/hotels mjini zinauza ila sii kila mmoja atatakaa aende kule.
Nitafocus saana na takeaways huku nikichanganya ladha za milk coffee, cappuccino,vanilla na hata cold coffee.
Wasiwasi wangu sasa uliofanya niombe ushauri hadi kurisk kuexpose wazo la biashara. Je,
1. Dar kuna joto saana ndicho kinachosababisha kahawa isiwe maarufu au ni kukosekana tu kwa mchangamkia fursa?
2. Ni kweli hakuna utamaduni wa watu kunywa kahawa?
3. Locations nzuri hasa kuanzia Sinza, mikocheni, O'bay, Upanga n.k baadhi nimeshatembelea ila niongezeeni hasa zenye watu wengi na wenye karba ya aina ya hii bidhaa.
4. Mwisho ningependa kupata ushauri jumuishi kwa kila mmoja.
Asanteni saana wakuu. Niwakumbushe tu anayekuomba ushauri kakuheshimu na kukuthamini saana.
Leo nimekuja kwenu naomba ushauri utakaonisaidia niendelee hapa nilipokwama. Naomba ushauri hapa kwasababu JF napathamini na kupaheshimu kwa michango ya wanachama wake tofauti na mitandao mengine(much credits to you guys).
Katika kutafuta namna ya kupambana na maisha nilifikiria fursa moja ambayo niliona kwa Dar haijachangamkiwa. Hii fursa inafanywa ila naona inafanywa locally saana. Na fursa yenyewe ni coffee business(yes, I'm exposing it). Mtaani ukipita kila kona utakutana na mbeba birika la kahawa na wanauza 100 na nyakati za jioni inanyweka na inapedwa saana vijiweni.
Akili yangu iliniambia hii biashara haikui kwasababu wanaoifanya sio wabunifu. Hawajajipanga. wanaifanya kiuchafuuchafu ndiyo maana wanywaji watu wa chini(mtanisamehe hapa).
Nikaja na wazo la kuiboresha hasa kwa kuanza tu japo na mtaji mdogo nifungue mobile shop or bicycle coffee cart(nimeziona mbele saana). Ni brand bidhaa yangu niweze kuiuza kwa wanywaji kuanzia middle class kwenda juu (price bado). Najua kuna restraurants/hotels mjini zinauza ila sii kila mmoja atatakaa aende kule.
Nitafocus saana na takeaways huku nikichanganya ladha za milk coffee, cappuccino,vanilla na hata cold coffee.
Wasiwasi wangu sasa uliofanya niombe ushauri hadi kurisk kuexpose wazo la biashara. Je,
1. Dar kuna joto saana ndicho kinachosababisha kahawa isiwe maarufu au ni kukosekana tu kwa mchangamkia fursa?
2. Ni kweli hakuna utamaduni wa watu kunywa kahawa?
3. Locations nzuri hasa kuanzia Sinza, mikocheni, O'bay, Upanga n.k baadhi nimeshatembelea ila niongezeeni hasa zenye watu wengi na wenye karba ya aina ya hii bidhaa.
4. Mwisho ningependa kupata ushauri jumuishi kwa kila mmoja.
Asanteni saana wakuu. Niwakumbushe tu anayekuomba ushauri kakuheshimu na kukuthamini saana.