Wakuu poleni na weak and
Mimi nina rafiki yangu wa karibu sana!! Yaani ni mtu wangu wakaribu sana kiasi kwamba chake changu na changu chake!
Sasa wakati leo naelekea zangu stendi gafla nikakutana nae yeye kaongozana dada mmoja!sasa mimi tukasalimia fresh wote tukamaliza!sasa mimi nikamvuta yule rafiki yangu pembeni nikamuuliza vipi huyo ni dadaako?? Wakuu kwa kweli sikuamini yule rafiki yangu kanipiga kofi hadi nikapatwa na kizunguzungu!!mpaka sasa nijiuliza hivi pale kosa langu ni nini!!!wakuu naombeni ushauri wenu kabla sijachukua maamuzi magumu kwa huyu rafiki yangu!!!
Mkuu huyu Kofi tuu anataka kuua, angejiuliza aliyotendwa na nchi hii chini ya chama cha majipu kwa miaka 50 angewatafuna kabisaYa Ngoswe mwachie Ngoswe usipende kuuliza uliza yasiyokuhusu, vuta subira mtu afunguke kama anaona kuna umuhimu wa kufanya hivyo.
Pigwa garagazwa kabisa. Ujuenini! Ww ni muongo %100. "Chake chako&chako ni chake". Pata somo'apo. Jamaa alishagundua ckunyingi kuwa chako ni chako na chake ni chako. Pale ulimuita kumzingua ili uendeleze ufisadi wako. Kwanini hukufanya subira kumuuliza muda mwingine tofauti na hapo?:Kahuni.Kakurud, umpende na ujirekebishe.Sasa wakuu kuuliza tuu ndo anikate kofi kiasi hicho au alikuwa na lake jambo maana nimefikiria mara mbili mbili hadi nikaenda kunoa panga!