mkewe humjui mkuu?Wakuu poleni na weak and
Mimi nina rafiki yangu wa karibu sana!! Yaani ni mtu wangu wakaribu sana kiasi kwamba chake changu na changu chake!
Sasa wakati leo naelekea zangu stendi gafla nikakutana nae yeye kaongozana dada mmoja!sasa mimi tukasalimia fresh wote tukamaliza!sasa mimi nikamvuta yule rafiki yangu pembeni nikamuuliza vipi huyo ni dadaako?? Wakuu kwa kweli sikuamini yule rafiki yangu kanipiga kofi hadi nikapatwa na kizunguzungu!!mpaka sasa nijiuliza hivi pale kosa langu ni nini!!!wakuu naombeni ushauri wenu kabla sijachukua maamuzi magumu kwa huyu rafiki yangu!!!
"weak and" kweli kelele za mabasi zimekuathiri ukichanganya na hilo kofi la kelb ..... wa stendiWakuu poleni na weak and
Mimi nina rafiki yangu wa karibu sana!! Yaani ni mtu wangu wakaribu sana kiasi kwamba chake changu na changu chake!
Sasa wakati leo naelekea zangu stendi gafla nikakutana nae yeye kaongozana dada mmoja!sasa mimi tukasalimia fresh wote tukamaliza!sasa mimi nikamvuta yule rafiki yangu pembeni nikamuuliza vipi huyo ni dadaako?? Wakuu kwa kweli sikuamini yule rafiki yangu kanipiga kofi hadi nikapatwa na kizunguzungu!!mpaka sasa nijiuliza hivi pale kosa langu ni nini!!!wakuu naombeni ushauri wenu kabla sijachukua maamuzi magumu kwa huyu rafiki yangu!!!
Wakuu poleni na weak and
Mimi nina rafiki yangu wa karibu sana!! Yaani ni mtu wangu wakaribu sana kiasi kwamba chake changu na changu chake!
Sasa wakati leo naelekea zangu stendi gafla nikakutana nae yeye kaongozana dada mmoja!sasa mimi tukasalimia fresh wote tukamaliza!sasa mimi nikamvuta yule rafiki yangu pembeni nikamuuliza vipi huyo ni dadaako?? Wakuu kwa kweli sikuamini yule rafiki yangu kanipiga kofi hadi nikapatwa na kizunguzungu!!mpaka sasa nijiuliza hivi pale kosa langu ni nini!!!wakuu naombeni ushauri wenu kabla sijachukua maamuzi magumu kwa huyu rafiki yangu!!!
mpotezee tu. ana stressWakuu poleni na weak and
Mimi nina rafiki yangu wa karibu sana!! Yaani ni mtu wangu wakaribu sana kiasi kwamba chake changu na changu chake!
Sasa wakati leo naelekea zangu stendi gafla nikakutana nae yeye kaongozana dada mmoja!sasa mimi tukasalimia fresh wote tukamaliza!sasa mimi nikamvuta yule rafiki yangu pembeni nikamuuliza vipi huyo ni dadaako??
Wakuu kwa kweli sikuamini yule rafiki yangu kanipiga kofi hadi nikapatwa na kizunguzungu!!mpaka sasa nijiuliza hivi pale kosa langu ni nini!!!wakuu naombeni ushauri wenu kabla sijachukua maamuzi magumu kwa huyu rafiki yangu!!!
potezea tu,no big dealDaa! Lakini mkuu roho inaniuma lile kofi mimi sikulitarajia kwani ni kubwa mno alafu isitoshe ni rafiki wangu wa karibu yaani hadi sasa siamini!!!
Chikua tu ndugu! Maana hamna jinsi tena!Wakuu poleni na weak and
Mimi nina rafiki yangu wa karibu sana!! Yaani ni mtu wangu wakaribu sana kiasi kwamba chake changu na changu chake!
Sasa wakati leo naelekea zangu stendi gafla nikakutana nae yeye kaongozana dada mmoja!sasa mimi tukasalimia fresh wote tukamaliza!sasa mimi nikamvuta yule rafiki yangu pembeni nikamuuliza vipi huyo ni dadaako??
Wakuu kwa kweli sikuamini yule rafiki yangu kanipiga kofi hadi nikapatwa na kizunguzungu!!mpaka sasa nijiuliza hivi pale kosa langu ni nini!!!wakuu naombeni ushauri wenu kabla sijachukua maamuzi magumu kwa huyu rafiki yangu!!!