Ushauri wenu wakuu: Nimeona mende wawili wakifanya mapenzi

Swizzy

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
773
Reaction score
514
Wakuu nimeona mende wawili wakifanya mapenzi. Nilitaka kuwamwagia dawa ya kuwaua ila nikawaza tena. Pengine wa kiume ashamfukuzia wa kike kwa miaka mingi na hajawahi kukubaliwa. Pengine huyu wa kike ashakula pesa zake nyingi bila kumkubalia... Mimi ni binadamu mwenye moyo msafi. Wacha waburudike...

Lakini nilipokuwa naondoka wazo lilinijia, je ikiwa anambaka? Nimechanganyikiwa... Hebu niambieni nifanyeje?
 
Kwa muda huu na siku yenyewe hii nadhan ulabu kichwani umeshachukua nafasi yake sio akili yako hii...nitalithibitisha hili zaidi kesho nikija kuangalia ulichokijibu.
 
Wadudu wengine ukiwa na wanafanya mapenzi ujue ni nuksi, hasa mende wanapandanaje lakini?? [emoji15] [emoji15]
 
Ndiyo sababu li nchi linajiendea tu kama mkondo wa Nungwi, kwa akili hii utegemee nchi ya viwanda!!
 
Mkuu naoana umegairi kuwauwa ukafuata sabuni na wewe uneemeke
 
Ha ha ha haaaa... Yaani hii awamu mpaka iishe, vichaa watakuwa wengi sana barabarani
 
Miguu ilikuwa chali au walilala kifudi kifudi
 
Ndiyo sababu li nchi linajiendea tu kama mkondo wa Nungwi, kwa akili hii utegemee nchi ya viwanda!!
Nyuzi za kujenga nchi ya viwanda zipo nyingi ungeenda kusoma hizo kwenye majukwaa yake. unakuja chit chat kutafuta viwanda?
 
Nyuzi za kujenga nchi ya viwanda zipo nyingi ungeenda kusoma hizo kwenye majukwaa yake. unakuja chit chat kutafuta viwanda?
ahsante kwa kunisaidia kumjibu huyo
 
Bila picha thread yako haina maana
 
Kwa muda huu na siku yenyewe hii nadhan ulabu kichwani umeshachukua nafasi yake sio akili yako hii...nitalithibitisha hili zaidi kesho nikija kuangalia ulichokijibu.
chit chat
 
Hahahaha angalia usije kuwa umeathirika kisaikolojia boss
 
Hahahahha..!!
 
Asante sana kama umewaacha zoologist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…