jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,536
KWA HIYO JAMAA AMEFELI BIG TIME.patterns
View attachment 2385290
•angalia wote wawili wanatumia alama za mshangao mbili kwa sms
• Wote wanaanza na herufi kubwa mara nyingi halafu kati wanachanganya na herufi kubwa tena
•Time gap hamna ipo weka niweke txt hakukuwa na mda wa kufikiria majibu, kwamba something was scripted
YeahKWA HIYO JAMAA AMEFELI BIG TIME.
Watu wapo busy kutafuta content za kupost. Wanaichafua taasisi ya ndoa kwa makusudi kabisapatterns
View attachment 2385290
•angalia wote wawili wanatumia alama za mshangao mbili kwa sms
• Wote wanaanza na herufi kubwa mara nyingi halafu kati wanachanganya na herufi kubwa tena
•Time gap hamna ipo weka niweke txt hakukuwa na mda wa kufikiria majibu, kwamba something was scripted
Wanachafua ndoa,wanashauriana wasioe halafu wanaanza kuinamishana wenyewe kwa wenyewe....tunawacheki tu.Watu wapo busy kutafuta content za kupost. Wanaichafua taasisi ya ndoa kwa makusudi kabisa
Kumbe ndo mkakati, basi sawaaaWanachafua ndoa,wanashauriana wasioe halafu wanaanza kuinamishana wenyewe kwa wenyewe....tunawacheki tu.
Huu uandishi ni wa kiume hata wewe na bangi zako huwezi andika hivi😂Kumbe ndo mkakati, basi sawaaa
Jamaa anajiandikia ujumbe hovyo kabisapatterns
View attachment 2385290
•angalia wote wawili wanatumia alama za mshangao mbili kwa sms
• Wote wanaanza na herufi kubwa mara nyingi halafu kati wanachanganya na herufi kubwa tena
•Time gap hamna ipo weka niweke txt hakukuwa na mda wa kufikiria majibu, kwamba something was scripted