Ushauri wenu wana ndugu ntachomokaje hapa?

Ushauri wenu wana ndugu ntachomokaje hapa?

jokotinda_Jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2022
Posts
882
Reaction score
1,536
Screenshot_20221012-203222_Twitter.jpg
 
patterns
88C4898B-C545-441C-BC5B-264B7EF07EEC.jpeg

•angalia wote wawili wanatumia alama za mshangao mbili kwa sms
• Wote wanaanza na herufi kubwa mara nyingi halafu kati wanachanganya na herufi kubwa tena
•Time gap hamna ipo weka niweke txt hakukuwa na mda wa kufikiria majibu, kwamba something was scripted
 
Kwa hiyo lengo ni kupata comment sio?? Halafu comment zinakuletea riziki ya Kila siku au sio??
 
Hiyo background Ni whatsfake .
Na ukiangalia muda wa msg kuwa received na replied plus alama za uhandishi kufanana unaona tu hii Ni kitu Toka Mufindi.
 
patterns
View attachment 2385290
•angalia wote wawili wanatumia alama za mshangao mbili kwa sms
• Wote wanaanza na herufi kubwa mara nyingi halafu kati wanachanganya na herufi kubwa tena
•Time gap hamna ipo weka niweke txt hakukuwa na mda wa kufikiria majibu, kwamba something was scripted
Watu wapo busy kutafuta content za kupost. Wanaichafua taasisi ya ndoa kwa makusudi kabisa
 
patterns
View attachment 2385290
•angalia wote wawili wanatumia alama za mshangao mbili kwa sms
• Wote wanaanza na herufi kubwa mara nyingi halafu kati wanachanganya na herufi kubwa tena
•Time gap hamna ipo weka niweke txt hakukuwa na mda wa kufikiria majibu, kwamba something was scripted
Jamaa anajiandikia ujumbe hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom