Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Kila mtu alipwe mpaka wasio na ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu alipwe mpaka wasio na ajira
Wazingatiwe aisee hii haijakaa sawaHakika nimemsika Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu 4 ambaye pia ni Mbunge akisema yeye ndie aliyependekeza Bungeni juu ya WENZA wa Viongozi wa JUU walipwe MAFAO kutokana na kuumiza Akili wa Wenza wao Wanatekeleza Majukumu yao.
Kutokana na hilo Mimi NAPENDEKEZA WENZA wa Wabunge nao Wanastahili KILIPWA MAFAO kama Wanavyolipwa WENZA wa VIONGOZI wa JUU.Kazi za UBUNGE ni ngumu sana Mbunge anakaa nje ya Kwake kwa miezi 3 BUNGE la BAJETI hali ambayo
Inaifanya Familia ya itumie AKILI Maisha yaendelea licha ya Mbunge kuwa BUNGENI
Pia Wabunge wamekuwa nao wakiumiza Akili kwa kuchambua Miswaada mbalimbali na Kutunga Sheria.
Kutokana na hali hiyo Naomba Wahusika Waliangalie kwa ukaribu suala hili.
==
Soma Wenza nao kulipwa mamilioni halikubaliki viongozi muogopeni Mungu