Ushauri: Wiki ya 2, mke hana hamu ya tendo la ndoa

Nas Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
5,286
Reaction score
5,421
Kama heading inavyosomeka,ni zaidi ya wiki 2 sasa wife hana hamu kabisa na tendo la ndoa.

Jambo hili limeanza kuonekana baada ya kugundulika ni mjamzito wa kama mwezi ivi,hii ishu imekuwa inaniumiza sana sababu ili tendo linoge lazima kila mtu ashiriki vyema na si upande mmoja.

Wataalamu tafadhalini msaada namna ya kurejesha hamu kwa wife.

Nawasilisha.
 
Mchunguze vizuri mkeo usikute ana mpango kando, ujauzito siyo kisingizio tena mimba haina hata miezi mitatu, wenzako wanakunjuana wakati bado siku tatu mke ajifungue...



Shtuka!!!
 
dogo ni kipindi cha mpito tu. mimba changa inahusiana na mabadiliko mwilini mwake. itafikia kipindi ataanza kudai vitu mfano lazima apate chips za sehemu flani,hatotaka kabisa upake mafuta au pafyum siutalia kabisa wewe. gentleman vumilia yataisha.
 
Dah na kwa haya mambo yao ya haki za wanawake ukigonga mzigo wakati hajisikii basi umebaka! Hatare sana
 
Kuwa mpole kwa mda hali hiyo huwatokea sana baadhi ya kina Mama tena ujauzito kama ni wakwanza unakuwaga na complication mingi mno..Usijenge mawazo ya labda wife anakucheat hapana....Tena wengine huwa wanatokea kuwapenda hata baadhi ya marafiki zako na anakuambia ili ale chakula kila siku jioni hakikisha unakuja na fulani hapa...Na akimuona anarithika mbaya kabisa..
 
Dah! We shukuru hana hamu pekee, kuna jamaa yangu amekuwa mtumwa ss!

Jamaa anatakiwa akachukue chipsi umbali wa 25kms kutoka kwake! Na zinatakiwa zifike hom zikiwa bado za moto! Na dinner/lunch ya wife wake, na kibaya hana muda maalum wa kula, yaan full vituko
 
Kama ningekua mwanaume hapa pa kumpenda rafiki yangu pangenitesa sana.
 
Sorry nasmapesa hii ID nilidhani ni jinsia KE niwie radhi kwa hili
 
Mke akili ishafyetuka anawaza uchungu wa kujifungua na sakata ajui atapush au tumbo litachanwa. Kuzaa shgl si mchezoo
 
Hahaha kumpenda rafiki yangu tena hapana bwna
 
Mchunguze vizuri mkeo usikute ana mpango kando, ujauzito siyo kisingizio tena mimba haina hata miezi mitatu, wenzako wanakunjuana wakati bado siku tatu mke ajifungue...



Shtuka!!!
Ntachunguza aisee

Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
 
Huyo bwege au hayuko busy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…