Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
dogo ni kipindi cha mpito tu. mimba changa inahusiana na mabadiliko mwilini mwake. itafikia kipindi ataanza kudai vitu mfano lazima apate chips za sehemu flani,hatotaka kabisa upake mafuta au pafyum siutalia kabisa wewe. gentleman vumilia yataisha.Kama heading inavyosomeka,ni zaid ya wiki 2 sasa wife hana hamu kabisa na tendo kubwa,jambo hili limeanza kuonekana baada ya kugundulika ni mjamzito wa kama mwezi ivi,hii ishu imekua inaniumiza sana sababu ili tendo linoge lazima kila mtu ashiriki vyema na si upande mmoja.
Wataalamu tafadharini msaada namna ya kurejesha hamu kwa wife.
nawasailisha.
Ngumu kumesa hii..Msubiri tu akishajifungua hamu itarudi
Inabidi tu,Ngumu kumesa hii..
Kama ningekua mwanaume hapa pa kumpenda rafiki yangu pangenitesa sana.Kuwa mpole kwa mda hali hiyo huwatokea sana baadhi ya kina Mama tena ujauzito kama ni wakwanza unakuwaga na complication mingi mno..Usijenge mawazo ya labda wife anakucheat hapana....Tena wengine huwa wanatokea kuwapenda hata baadhi ya marafiki zako na anakuambia ili ale chakula kila siku jioni hakikisha unakuja na fulani hapa...Na akimuona anarithika mbaya kabisa..
Sorry nasmapesa hii ID nilidhani ni jinsia KE niwie radhi kwa hiliKama heading inavyosomeka,ni zaid ya wiki 2 sasa wife hana hamu kabisa na tendo kubwa,jambo hili limeanza kuonekana baada ya kugundulika ni mjamzito wa kama mwezi ivi,hii ishu imekua inaniumiza sana sababu ili tendo linoge lazima kila mtu ashiriki vyema na si upande mmoja.
Wataalamu tafadharini msaada namna ya kurejesha hamu kwa wife.
nawasailisha.
sheria ya kumsubiri mtu mahali lazima uwe unapata moja baridi...Msubiri tu akishajifungua hamu itarudi
Mke akili ishafyetuka anawaza uchungu wa kujifungua na sakata ajui atapush au tumbo litachanwa. Kuzaa shgl si mchezooKama heading inavyosomeka,ni zaid ya wiki 2 sasa wife hana hamu kabisa na tendo kubwa,jambo hili limeanza kuonekana baada ya kugundulika ni mjamzito wa kama mwezi ivi,hii ishu imekua inaniumiza sana sababu ili tendo linoge lazima kila mtu ashiriki vyema na si upande mmoja.
Wataalamu tafadharini msaada namna ya kurejesha hamu kwa wife.
nawasailisha.
Kuwa mpole kwa mda hali hiyo huwatokea sana baadhi ya kina Mama tena ujauzito kama ni wakwanza unakuwaga na complication mingi mno..Usijenge mawazo ya labda wife anakucheat hapana....Tena wengine huwa wanatokea kuwapenda hata baadhi ya marafiki zako na anakuambia ili ale chakula kila siku jioni hakikisha unakuja na fulani hapa...Na akimuona anarithika mbaya kabisa..
Ntachunguza aiseeMchunguze vizuri mkeo usikute ana mpango kando, ujauzito siyo kisingizio tena mimba haina hata miezi mitatu, wenzako wanakunjuana wakati bado siku tatu mke ajifungue...
Shtuka!!!
Mshauri jamaa awe ananunua makreti ya [emoji481] [emoji481] maana miezi 9 sio mchezosheria ya kumsubiri mtu mahali lazima uwe unapata moja baridi...
Huyo bwege au hayuko busyDah! We shukuru hana hamu pekee, kuna jamaa yangu amekuwa mtumwa ss!
Jamaa anatakiwa akachukue chipsi umbali wa 25kms kutoka kwake! Na zinatakiwa zifike hom zikiwa bado za moto! Na dinner/lunch ya wife wake, na kibaya hana muda maalum wa kula, yaan full vituko
Nishauri dadamhhh mkeo noums