Ushauri: Yanga jifunzeni kwa simba kimataifa

Ushauri: Yanga jifunzeni kwa simba kimataifa

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Kwanza ieleweke sifungani na upande wowote, Mimi ni mshabiki wa manyema rangers mkuki wa sumu.

Simba kuvuka kwenda makundi ni 80% zingine 20% nimeziacha kutokana na uzembe wao Kama walivyofanya misimu mingine waliyotolewa. Odds nyingi zinalalia kwa simba.

Yanga kuvuka ni 30% japo uwezo wa kwenda makundi wanao, al hilal ni timu nzuri na tajiri lakini hawatishi kihivyooo, walikuja hapa simba tukawabonda za kutosha.

Yanga hichi ni kipimo chenu kudhihirisha ukubwa wenu
Na hakika simba angepangwa na al hilal wasingekua na mawazo saana Kama wanayanga.
Yanga ifike hatua Kama wenzao simba waliyofikia hawaogopi timu yoyote, kinachoiwazisha simba ni timu chache ambazo zipo kwenye top ten (rank ya caf)....

Mwisho

Yes tuache kuishi kizamani kwenye hizi game.
Kuna Raha kubwa kuona yanga yupo makundi, Simba Yuko makundi then Azam naye anajipapatua unakuta Yuko makundi ya shirikisho. Inafanya ligi ichangamke.

Dirisha lililopita wachezaji wengi walikuwa wanatamani kuja kucheza Tanzania kwasababu wanatuona tuko serious.

Al hilal siyo wepesi lakini pia siyo wagumi kihivyo kiasi Cha kuooogopa.

Simba ule msimu wa kwanza wanatamba kimataifa walipangwa na wanafainali wa CAF champions league na confederation cup wa msimu wa nyuma yake, lakini mbona walitoboa tu.
 
Hayo ndio matatizo ya kukariri....Makolo mtajua hamjui kuanzia Jumamosi...Mwanzo mlianza kwa kusema Makolo timu kubwa na mkainanga Yanga kwa kuanzia raundi za awali...imekuwaje tena timu kubwa nayo kuanza raundi ya awali....kwa ratiba hii ya CAF timu kubwa ni Azam tu itakayo anzia raundi ya kwanza! Makolo Mlibwanjiiii!
 
Hayo ndio matatizo ya kukariri....Makolo mtajua hamjui kuanzia Jumamosi...Mwanzo mlianza kwa kusema Makolo timu kubwa na mkainanga Yanga kwa kuanzia raundi za awali...imekuwaje tena timu kubwa nayo kuanza raundi ya awali....kwa ratiba hii ya CAF timu kubwa ni Azam tu itakayo anzia raundi ya kwanza! Makolo Mlibwanjiiii!
Hata zamaleck, horoya ni timu kubwa lakini zimeanza hatua za awali
 
Hayo ndio matatizo ya kukariri....Makolo mtajua hamjui kuanzia Jumamosi...Mwanzo mlianza kwa kusema Makolo timu kubwa na mkainanga Yanga kwa kuanzia raundi za awali...imekuwaje tena timu kubwa nayo kuanza raundi ya awali....kwa ratiba hii ya CAF timu kubwa ni Azam tu itakayo anzia raundi ya kwanza! Makolo Mlibwanjiiii!
Azam hapo ameingia kupitia Simba, yaan km Simba angekua shirikisho, angeanzia round ya kwanza
 
Ni kweli lakini kabla ya hii ratiba kutoka na Yanga walipochukua tu ubingwa kelele za Simba zilikuwa nyingi kuwa wao ni timu kubwa na hawatoanzia mechi za awali....Makolo muwe mnafikiri kabla ya kusema
Umesahau Takadini alivyobweka mbele ya waandishi wa habari, kuwa utopolo mtaanza 1St round, kwa kuwa ni mabingwa?? Au umesahau nitume ile clip???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umesahau Takadini alivyobweka mbele ya waandishi wa habari, kuwa utopolo mtaanza 1St round, kwa kuwa ni mabingwa?? Au umesahau nitume ile clip???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha! achana nae yule...mwana Yanga mwenye akili alijua hilo si kweli ndio maana weng wao hawakulishadidia lile neno! ila hii ya Makolo ili trend sana utafikiri wao ndio wapanga ratiba wa CAF!
 
Back
Top Bottom