Ushauri: Yanga jihadhari na kuporomoka kwa timu 23/24 season

Ushauri: Yanga jihadhari na kuporomoka kwa timu 23/24 season

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
Yanga imefanikiwa kuingia mechi za makundi kwa uwezo mzuri wa kiufundi kisoka iiliouonesha pale tunisia.mbali na furaha hiyo kwa sisi wapenzi wa soka yanga inalizimika kujihadhali na kuporomoka kwa soka baada ya michuano kuisha.

Kuporomoka kwa soka kunatokana na uwezekano mkubwa wa kuibiwa wachezaji wake wazuri kama salumu Abubakari,Mayele,Clement mzize, feisal na kipa mdaka mishale. kibaya zaidi ni kuwindwa kwa kocha wake Nabi ambaye kila timu barani Africa hivi sasa zinakuwa zinafuatilia CV yake.

Ni jambo la dhahabu sana kwa viongozi wa Yanga kwa muda huu kuanza kujua mapema swala hili na kupekeuwa CV za makocha bora wakali barani Africa ili Nabi akiondoka basi huyo kocha mbadala aletwe mara moja na si kungojea kusaka porini kuwinda kocha kwa kupanic. hii janja ya kuihami timu ndiyo siri pekee inayoifanya real madrig kutoporoka kwa kiwango kikubwa kisoka huko ulaya.

Kwangu mimi nishamuona kocha mzuri ambaye anaweza kuwa mbadala wa nabi kama nabi akiwindwa kwa pesa kubwa na timu za kaskazini. kocha huyo ni yule wa Klabu bingwa ya angola Petro atretico de Angola.
 
Wewe sema tu humtaki Nabi acha kuzunguka, na hao wachezaji hakuna timu ya maana itakayowahitaji zaidi ya Ihefu na Yanga B SBS
 
Yanga imefanikiwa kuingia mechi za makundi kwa uwezo mzuri wa kiufundi kisoka iiliouonesha pale tunisia.mbali na furaha hiyo kwa sisi wapenzi wa soka yanga inalizimika kujihadhali na kuporomoka kwa soka baada ya michuano kuisha.

Kuporomoka kwa soka kunatokana na uwezekano mkubwa wa kuibiwa wachezaji wake wazuri kama salumu Abubakari,Mayele,Clement mzize, feisal na kipa mdaka mishale. kibaya zaidi ni kuwindwa kwa kocha wake Nabi ambaye kila timu barani Africa hivi sasa zinakuwa zinafuatilia CV yake.

Ni jambo la dhahabu sana kwa viongozi wa Yanga kwa muda huu kuanza kujua mapema swala hili na kupekeuwa CV za makocha bora wakali barani Africa ili Nabi akiondoka basi huyo kocha mbadala aletwe mara moja na si kungojea kusaka porini kuwinda kocha kwa kupanic. hii janja ya kuihami timu ndiyo siri pekee inayoifanya real madrig kutoporoka kwa kiwango kikubwa kisoka huko ulaya.

Kwangu mimi nishamuona kocha mzuri ambaye anaweza kuwa mbadala wa nabi kama nabi akiwindwa kwa pesa kubwa na timu za kaskazini. kocha huyo ni yule wa Klabu bingwa ya angola Petro atretico de Angola.
Kwanza ww sio mshabiki wa Yanga.

Vizuri ungewashauri hao wenzako wanao tegemea mchezaji mmoja, mpaka sasa wamempa deiwaka Mgunda huku wakimlia timing wamtoe na wakimchomoa Mgunda wamekwisha. Sababu huyo kocha mpaka aje awatizame wachezaji ,atengeneze mfumo watajikuta washachelewa.


Halafu kwa nini mnamuhofia sana Nabi,maanake maocumisha kuondoka ni nyinyi wana Simba .Sasa huyo kocha wa timu ya Angola ana kitu gani special? CV yake ?Kama mzuri wamchukue Simba ambao hawana kocha.
 
Feiasal hawezi kuhama utopolo kwa kuwa anamaelekezo ya mganga na hawezi kufanya vuzuri timu nyingine.
 
[emoji106]
JamiiForums-4423810.jpg
 
Back
Top Bottom