Ushauri

Alewii bwana

Member
Joined
Jan 15, 2021
Posts
18
Reaction score
17
Nimechaguliwa kusoma Bsc of science in human nutrition ,naomba nishaurini chochote kuhusu hii course kama ni nzuri

# Natanguliza shukrani zangu za dhati wakuu#
 
Nimechaguliwa kusoma Bsc of science in human nutrition ,naomba nishaurini chochote kuhusu hii course kama ni nzuri

# Natanguliza shukrani zangu za dhati wakuu#
Hongera ni nzuri sio mbaya ila BSc. Food, Nutrition and Dietetics na BSc. Clinical
Nutrition and Dietetics ni nzuri zaidi.

Ila kwa ujumla zote zina fursa kwenye Lishe ya binadamu. Unaweza kufanya
kazi hospitali na kwingineko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…