Habari zenu!
Tokea nianze kufanya mapenzi ni mara yangu ya sita sasa, lakini kadri siku zikisogea sioni uafadhali katika tendo. Huwa nasikia maumivu makali pale mboo iingiapo, maumivu ya kama kitu kinagongwa ndani. Na baada ya tendo huwa na bleed japokuwa siku zangu hazijakaribia.
Sasa sielewi tatizo ni nini! Maana sijawahi pata magonjwa ya zinaa.
Nisaidieni jamani!
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Tokea nianze kufanya mapenzi ni mara yangu ya sita sasa, lakini kadri siku zikisogea sioni uafadhali katika tendo. Huwa nasikia maumivu makali pale mboo iingiapo, maumivu ya kama kitu kinagongwa ndani. Na baada ya tendo huwa na bleed japokuwa siku zangu hazijakaribia.
Sasa sielewi tatizo ni nini! Maana sijawahi pata magonjwa ya zinaa.
Nisaidieni jamani!
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums