Sasa je kama najua baadhi ambao ni wa kike? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] labda amepatikana mwingine ambaye sijamjua jeeNilitaka kujua tu mkuu [emoji23][emoji23] maana pale penye kuto kuwafahamu shangazi zake
Mkuu umewekeza nguvu nyingi sana kwa mchepuko kuliko kwa familia, its obvious huna muda na mke wako na watoto maana kuingia kwako nyumbani kila siku ni usikuNazungumzia ile kutegeneza fitna,zengwe na figisu Fulani ili KUVURUGA mahusiano ya watu, ili Wewe upate nafasi ya kumsogeza karibu umtakae au kumtuliza yule umpendae[emoji2]
BINAFSI ILIKUA HIVI[emoji4][emoji116]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Ha ha ha ...
Bwana Pepsi anakupasua kabisa.
Kuna wezi wang flani walihusika kunivunjia duka, mmojawapo nilimjua ndo alowakodisha majambaz wale pikpik wakaibe dukan kwangu.
Nlichokifanya sikwenda polisi Wala Nini, niliacha siku kadhaa zikapita nilikwenda kwake usku na petroli nikamchomea Gari yake moto. Ikateketea mpk majivu
Na mpk leo hajui Kama Ni Mimi nilimfanyia vile.
Malipo Ni hapa hapa duniani[emoji4]
Kama ibrahimu alizaa na kijakazi tokea misri, ambayo ilikuwa taifa la watu weusi kutokea uzao wa ham, bas ijulikane tu wazi kuwa ishmael alikuwa chotara wa Kibantu na sio muarabu kama mnavyowaaminisha watu uongo.Hahaha ila Ibrahim alikuwa mjanja alitumia kigezo cha mkewe kutozaa na kutembea na mjakazi wake nafikiria ndio huu uzao wa warabu hata jina lake linasadiki Ismael maana yake ISM ni neno la kibrania ambapo katika arabic pia lina maana sikia na el ni Mungu maana yake mungu amesikia na akapata mtoto baada ya muda mrefu kuwa hajapta mtoto
Ndio ufanye kuwatembelea sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa je kama najua baadhi ambao ni wa kike? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] labda amepatikana mwingine ambaye sijamjua jee
Hivi vitu sio vya kumeza km vilivyo aisee[emoji848]Kama ibrahimu alizaa na kijakazi tokea misri, ambayo ilikuwa taifa la watu weusi kutokea uzao wa ham, bas ijulikane tu wazi kuwa ishmael alikuwa chotara wa Kibantu na sio muarabu kama mnavyowaaminisha watu uongo.
Hiv izo biblia huwa mnazisomaje? Ama ni marufuku kwenu kutumia common sense kutafakari hivyo vitabu.
Haya mambo ukienda deep sana utagundua siri ambazo mkuu wako wa dini hataki ujuwe
Ndio hivyo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] anaweza kutana na shangazi zake asiwajue.Wee jamaa wewe[emoji4]
NtawatembeleaNdio ufanye kuwatembelea sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakadori anaelewa haya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo nimejaa tele yaan rafiki uwiiiiihHa ha ha.....nilikumiss kweli kwany huu Uzi[emoji4]
Ha ha ha....Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo
Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi. Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni ujinga wa kujitakia. Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu sasa yapata miaka mitatu. Imefikia hatua...www.jamiiforums.com
Hii Thread ya Saaly inakuhusu pia DeepPond
Nakumbuka ulivyokuwa Unafukuzwa nikasema Huyo jamaa Naye Anaenda Kujua Moyo wa Mwanamke upoje muda Si Mrefu.Ha ha ha....
Kwakweli imegusa mule mule mkuu[emoji4]
Na sahz Niko njian naelekea kazin kwake kujua mbivu na mbichi khs huu Uzi.Nakumbuka ulivyokuwa Unafukuzwa nikasema Huyo jamaa Naye Anaenda Kujua Moyo wa Mwanamke upoje muda Si Mrefu.