Mr Gratitude
Member
- Aug 8, 2020
- 48
- 66
Mradi uliokuwa unautegemea unakufa kwenye mazingira ya kutatanisha. Unaamka asubuhi hauna ratiba ya kwenda mahali popote, majirani wambeya wanakuuliza maswali ya kipuuzi "vipi Leo mbona hujaenda kazini" siku chache za mwanzo unawajibu kuwa upo off day baada ya muda unawaambia kua upo likizo. Asubuhi unaulamba unabeba begi ukiwa kwenye daladala ndio unawaza uende wapi! Kutafuta mchongo.
Unakosa hela ya kumhonga demu wako hakuelewi, suruali na boxer zinachakaa hauna hela ya kufanya shopping, baadaye Mungu anakufanikisha unapata mchongo mwingine, amani ya moyo inarudi tena unakaa chini unakumbuka ule msemo maarufu "usiache kazi bila kupata kazi"
Unakosa hela ya kumhonga demu wako hakuelewi, suruali na boxer zinachakaa hauna hela ya kufanya shopping, baadaye Mungu anakufanikisha unapata mchongo mwingine, amani ya moyo inarudi tena unakaa chini unakumbuka ule msemo maarufu "usiache kazi bila kupata kazi"