Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Kupitia Character ya Samwel Tarly na Jon Snow nimejifunza mengi.
Usimdharau mtu,Siku yoyote atapanda juu na hata asipopanda ipo siku utahitaji msaada wake.

Be humble life is full of possibilities
They were great characters

A bustard kid turned to a king
 
Ulifanya poa sana kumkwepa.
 
Hivi kuna boss wa ikulu tofauti na raisi?
 
Nahisi wewe utakuwa mrembo sana na combination uliyosoma ni PCB/PCM. Mwalimu alitegemea uwe HKL.
 
Kuna mdada nimefall love kwake .Walimwengu wa jf nakiri wazi ni nakapenda truly. me kuanza zile nichukue namba naonaga tabu sana though am introvert lkn kwenye mtongozo napenda face to face (najua mabaharia mnajua faida za non-verbal traits ambazo mwanamke huzionyesha.

Walimwengu basi ile nimemfata salamu vizuri kawaida akajibu vizuri sana kwa sababu tuna mazoea na salamu basi. Dah nikamwambia sorry naomba kama sekunde 30 unisikilize.... Ohh nikakatwa jicho hiloo akanijibu sina muda, sitaki nipishe nipite. ...

Walimwengu wa jf niliishiwa pozi na si unajua ama introvert na tukitokea tumejipinda kuongea afu tunazodolewa Huwa tunahisi tumesalitiwa na akili kabisa

Sikujibu kitu nikamuacha apite... Rohooo inauma hadi leo..Nakapenda kinyama. Nmekafuata mara ya pili napo hola...

Nmeamua kumpotezea kimykimya . ila ngoja one day...... Ila kakijaa vizuri nawaahidi sitakatesa wala kulipiza. Nakapenda.. Maria dah..unanitesa .😍😍😓😓
 
Omba namba acha ujinga kwani nani kakwambia ukiomba namba ndio inamaanisha utamtongoza kwa chatting, namba inamaana hata kama unataka face to face utamshawishi kufanya meeting sasa wewe unamuona yupo bize juakali umsimamishe umtongoze How come.
 
Ngoja nimalizane na Tundu Lissu ntakuja kuleta visa vyangu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaaani wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hatari[emoji3]
 
Omba namba acha ujinga kwani nani kakwambia ukiomba namba ndio inamaanisha utamtongoza kwa chatting, namba inamaana hata kama unataka face to face utamshawishi kufanya meeting sasa wewe unamuona yupo bize juakali umsimamishe umtongoze How come.
Mkuu namba ake ninayo na aliridhia mbona. Hta kwa kuchati nilimuambia naomba nionane na wewe akagoma
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo maana sipendi kupiga pic kwa magari ya watu wala kwa bic
 
Du.[emoji1787]
 
akacheka sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa sijaelewa...matokeo yako yalikuwa mazuri sanaaa au mabaya sanaa?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi ilishawahi kunikuta wakat tupo chuoni kuna manzi mmoja hostel alikuwa ananichukulia mm nyoronyoro bwana ikatokea scenario nimetembelea room kwake yupo down sana bac ktk kumfarijifariji bwana tukazama deep sanaa

matendo yakikubwa yakatokea (friend match) nilimpelekea bakora za moto sanaaa yaan dogo alilalamika sanaa unagusa mfuko wa uzazi baasi kuanzia siku iyooo hakunichukulia poaa tenaa .

Hope sijatoka nje ya maada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…