Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Mbona huwa siwaoni kwenye kazi ngumu Kama za zege,kuchimba hata mashimo ya vyoo,makondakta hawazidi labda 50 hapa mjini,madereva ni wa kuhesabu, hata wabunge ukiangalia wanawake wanabebwa viti maalumu tu ni kwa Nini hawapambani wao Kama wao. Wao wanasubiria kuwa empowered tu.Tuna tofauti kijinsia
Ila katika eneo la kazi ama elimu haimaanishi mwanamke ana uwezo wa chini
Mh Rais ni Mama Yetu Mpendwa SASHA🥰
Katika majeshi yetu ke ni wa kutafuta na torch,
Pia kozi za Engineering,Md, architecture huko pia ni wa kutafuta kwa torch.
Sijapondea jinsia uelewe Ila mie navyojua mwanamke yupo chini ya mwanaume regardless what.
Why katika maandiko mwanaume ndiye anayepewa maagizo na Mwenyezi Mungu na si ke.
Bodaboda siwaoni ke,vibarua shambani ama kuzibua vyoo siwaoni pia huko Bali wao huwa nawaona wakitegemea nguvu ya k kuishi hapa sio wote.
NB: hayo maeneo niliyotaja wapo ke wenye uwezo kuliko me Ila ni %age ndogo Sana.
Chuoni kozi ya engineering Kuna wadada walikuwa na uwezo mpaka kwa department yetu best student ni ke akapewa scholarship amemaliza PhD yake USA.