Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Tuna tofauti kijinsia
Ila katika eneo la kazi ama elimu haimaanishi mwanamke ana uwezo wa chini

Mh Rais ni Mama Yetu Mpendwa SASHA🥰
Mbona huwa siwaoni kwenye kazi ngumu Kama za zege,kuchimba hata mashimo ya vyoo,makondakta hawazidi labda 50 hapa mjini,madereva ni wa kuhesabu, hata wabunge ukiangalia wanawake wanabebwa viti maalumu tu ni kwa Nini hawapambani wao Kama wao. Wao wanasubiria kuwa empowered tu.
Katika majeshi yetu ke ni wa kutafuta na torch,
Pia kozi za Engineering,Md, architecture huko pia ni wa kutafuta kwa torch.
Sijapondea jinsia uelewe Ila mie navyojua mwanamke yupo chini ya mwanaume regardless what.
Why katika maandiko mwanaume ndiye anayepewa maagizo na Mwenyezi Mungu na si ke.
Bodaboda siwaoni ke,vibarua shambani ama kuzibua vyoo siwaoni pia huko Bali wao huwa nawaona wakitegemea nguvu ya k kuishi hapa sio wote.
NB: hayo maeneo niliyotaja wapo ke wenye uwezo kuliko me Ila ni %age ndogo Sana.
Chuoni kozi ya engineering Kuna wadada walikuwa na uwezo mpaka kwa department yetu best student ni ke akapewa scholarship amemaliza PhD yake USA.
 
Yaani wewe Ni Kama Mimi tu nilikiwa siwezi soma sehemu yenye utulivu [emoji1]

Yaani lazima nianzishe kelele huku naibia kwenye daftari ndio naelewa vizuri.

Kusoma sehemu iliyo kimya nakuwa naboreka
 
Linapokuja suala la ndoa na kazi ngumu kweli Mwanaume yuko juu ama zaidi ya Mwanamke

ila kazi zisizohitaji nguvu usijidanganye
Chunga mtizamo wako...

ama unatuaminisha pia wenye hela wote ni wanaume😅
 
Linapokuja suala la ndoa na kazi ngumu kweli Mwanaume yuko juu ama zaidi ya Mwanamke

ila kazi zisizohitaji nguvu usijidanganye
Chunga mtizamo wako...

ama unatuaminisha pia wenye hela wote ni wanaume😅
Kama wenye hela hebu tuanze kuangalia matajiri Billionaires in terms of usd Kama alfu 10 afu ratio Kati ya ke/me ni ngapi. Ama tuanzie Mia moja najua hii itapatikana hata Kama tukigugo.
Tuachane waliyopewa talaka na utajiri wakaupata kwa wanawake.Tuone waliohaso from zero kabisa na sio kurithi ni wangapi
 
Billionaires mbali sana
Maisha ya kawaida tu wenye hela wote ni Wanaume?
Wenye magari wote ni wanaume?.
Viongozi wote ni wanaume?

sikatai tofauti za kijinsia ila haimaanishi mara zote mwanaume yuko juu ya mwanamke kama ulivyosema
Hasa katika muktadha nje ya mambo ya ndoa
 
Namie sijakukatalia naelewa hata vitani Kuna wanawake wana uwezo mkubwa Sana wa kuongoza mapambano kuliko wanaume. Ila inatokea tu Kama accident my dia ama bado sijaeleweka.
Pia wanawake wanaohaso kabisa from zero wakasimama ni wachache ilo tuelewane bila ya mkono wa mwanaume.
Kama hajatoa k ili apewe nafasi Fulani kikazi.
Pia sikatai kuwa wanawake hawana uwezo.
Mfano mzuri kwetu home mama alikuwa na nguvu za kulima shambani kuliko baba.
Yaani mama Ana nguvu from Ile akiwa mdogo ndo Bibi alimpendea akadai kuwa anafaa kuwa mkamwana wake.
Ila inabidi ukubali ukweli basi.
 
Nafikiri tuishie hapa mana tuna mtizamo tofauti
 
😄😄😄
 
Hii siledi nayo ni miongoni mwa siledi duu[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my cupboard using mug
 
Fanya hivyo mkuu!! Ukifika gym ,train kama vile unataka kuwa bodybuilder yani ile serious usiafanye mazoezi dk15 na dk15 nyingine selfi na kuchat kama washua wenzako wanavyofanya... achana na aerobics, miezi mitatu tu tunakusahau!!!
 
You never know mkuu siku unaweza ukaokota dodo huko maisha yakabadilika ghafla😃😃😃
 
Tuna tofauti kijinsia
Ila katika eneo la kazi ama elimu haimaanishi mwanamke an saa uwezo wa chini

Mh Rais ni Mama Yetu Mpendwa SASHA🥰
Mama samia i really love that mama,,
Leo namuona anaingia zeke ikulu na msafara wake anaperuz peruz jamii forum nyuma gari,
Hana habari so relaxed,.
Mbele waheshmiwa ma rto na zto wanaongoza msafara,
MUNGU AMPE MAISHA MAREFU SANA MAMA ETU,
Nikimuonaga moyo wangu unapata amani sana nasahau shida zangu zote kwa muda..
 
Mhhh umetia chumvi hapo kwenye kuperuzi JF
 
Hao ndo wazuri, ipige iyo sana tu sio mara 2 tu alafu itose
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…