Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Mwaka2008 natoka zangu Mererani(Tanzanite one) ilikuwa weekend nimetoka underground moja kwa moja KIA nkala mwewe mpaka Dar airport hapo nina masizi(ulanga) nguo chafu Yan sitamaniki.kuna jamaa akanikuta hapo airport akaanza kujitapa......baadae alijiona boya sana
 
 
tafuta viagra kabisa huyo au dawa ya wamasai au ile ali kasusu then uje umtusue mpaka alieeee na aheshimu siku zingine watu asio wajua.
 
Hivi viumbe ni hatari[emoji16]
 
Alifanyaje kwan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…