Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Aahh.. wanadamu tuna shida sana [emoji38][emoji38][emoji38]wanapima Kwa macho

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Daahh...aseehhh[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
🀯🀯🀯

Mchezea akili za watu 🀣
 
Hicho ki NGO mzilankende myao alikipiga pini Nini!!?maana jamaa alizika Hadi vyuo vikuu uchwara!!
 
[emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi nilazimisha nikusalimie wakati wa kupokea huduma. Sio lazima kabisa wala haiongezi au kupunguza chochote.
Nikija customer care nahitaji huduma, salamu naweza enda shule ya msingi wakanisalimia watu zaidi ya 1000 na shida yangu isitatuliwe.
[emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daahh watu mna majibu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hilo tunda ningelila kimasihara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenichekesha sana

Eti nilikuwa nampelekea matunda [emoji527]
 
Likewise
 
Hii ilitokea kuwa nilipata ugeni juu ya ugeni kama ifuatavyo.
Rafiki yangu toka Nairobi alinitembelea na yeye alitegemea kukutana na rafiki yake Mtanzania lkn huyo rafiki yake anaishi Us.

Basi huyu rafiki yangu huyu wa Nairobi akaomba kama sitojali awakaribishe hao wageni wake kwangu na walale siku moja ili wapate wasaa mzuri kuongea usiku.
Nami sikuweka pingamizi kwani nina nafasi ya kutosha nyumbani.

Wale wageni wakati wanakuja walipiga simu na kumwelekeza dereva aliyekuwa anawaleta.
Nilienda kuwapokea kwenye njia panda kuja kwangu.

Nilipowapokea na kuwaleta home, walipokutana na mwenyeji wao na kukumbatiana kwa bashasha..jamaa huyu Mtz mkazi wa Us kwa muda huo walikuja na mkewe..na hapa Tz ni wenyeji wa Kigoma.

Basi niliwakaribisha na kuwapa juisi na wakaendelea kuongea kwa muda kama dakika 30.

Huyu jamaa Mtz mkazi wa Us ilibidi amuulize huyu rafiki yangu kuwa mwenye nyumba yuko wapi tumsalimie?

Rafiki yangu akaniita kwani baada ya kuwapatia juisi mimi niliwapisha sebuleni niliingia kwenye ka ofisi changu kadogo.

Hivyo rafiki yangu akaniita kuwa nije wageni wanatamani kunisalimia, baada ya kufika jamaa huyu Mtz akauliza....una uhakika ndiye mwenye nyumba?
RAfiki yangu akamjibu ndiye...
Jamaa alishangaa sana akasema nilijua labda ni kijana wa mwenye nyumba.
 
S
Unataka atunge kitabu sasa cha maisha yake,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…