Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Yeah nakumbuka nikiwa secondary
I was very fun na nilikuwa napenda jokes.
Kiasi kwamba mgeni akija anajua huyu mvulana hamnazo.

Sasa one day akaja mdada flani shuleni kwetu.Alikuwa mwarabu alikuwa anasoma business na mimi business.

Sasa nikawa niko zangu kiutani kama kawa,Alikuwa hata kuniongelesha hataki.
Siku moja alipoona mwandiko wangu kwenye daftari akashangaa.Akaambiwa hilo daftari la yule kaka.

Matokeo yalipotoka ya mwezi wa sita shuleni kwenye notisi bodi akaliona jina langu namba moja.Alishangaa sana akawa anauliza ndo yule kaka anapenda utani,akaambiwa ndiyo.

Toka siku ile tukawa best friends na mimi na yeye tulikuwa best students in business
 
Huu uzi umejaa chai sana.
Mkuu wewe utakuwa unaishi maisha gani, Mana Kila mtu anayesimulia Jambo huwa unahitimisha kirahisi tu kuwa ni chai!!

Inaonekana imeishi maisha ukizungukwa na watu waongo waongo , kwa hiyo Kila mtu unamuona ni muongo , wengine wamekulia katika mazingira ya kujiamini mtu kabla ya kushuku.
 
Kuna kijiwe nakagaa kupiga story kuna jamaa mmoja ana tambo sana na wenzake wananichukulia poa sana alikua anambiaga we maskini ongeza konyagi za kupima, mpk siku aliponiona kwenye msafara flani akawahadithia wenzake, Hahahahah... mpk leo hawanisomi
 
Kupendeza you dont need designer brands...Unaweza ingia maduka tu ya pembezoni mwa mji ukapata nguo safi tu kama Kariakoo unaona tabu kwenda.
Kwa staff anaepata 2M+ inakuwaje ngumu kufanya shopping ya 200k tu kila mwezi which is basically enough.

Suruali na mashati mazuri unayapata kwa 25k or less. Viatu ndio itategemea maana viko juu sana in cost. Kama utanunua pair moja moja sio mbaya atleast kila baada ya mwezi.
Duh..
 
Yeah nakumbuka nikiwa secondary
I was very fun na nilikuwa napenda jokes.
Kiasi kwamba mgeni akija anajua huyu mvulana hamnazo.

Sasa one day akaja mdada flani shuleni kwetu.Alikuwa mwarabu alikuwa anasoma business na mimi business.

Sasa nikawa niko zangu kiutani kama kawa,Alikuwa hata kuniongelesha hataki.
Siku moja alipoona mwandiko wangu kwenye daftari akashangaa.Akaambiwa hilo daftari la yule kaka.

Matokeo yalipotoka ya mwezi wa sita shuleni kwenye notisi bodi akaliona jina langu namba moja.Alishangaa sana akawa anauliza ndo yule kaka anapenda utani,akaambiwa ndiyo.

Toka siku ile tukawa best friends na mimi na yeye tulikuwa best students in business
Mkuu hilo somo lilikuwa Business Au Commerce na Bookeping ?
 
Nakumbuka kuna kipindi nilikuwa nakula sehemu(mgahawa).sasa ylule mpishi alikuwa akiniletea dharau sana kwa sababu nilikuwa naulizia ugali kila siku nikiwa pale,alikuwa analeta shobo zaidi kwa wale wanaonunua chipsi.

Lakini mwisho wa siku alikuja kubadilika alipogundua mimi ndiyo mkulima wa vile viazi anavyouza.
 
Mi kuna manzi mmoja katika harakat za kusaka tonge ikatokea tuna mawasiliano na yalikua strictly kikaz zaid cz wao walikua na ma distributor wa products flan hiv za security na mi nikawa moja ya wateja wao.
Sikua namjua kiundani na mawasiliano yetu yalikua nadra sana ile kikaz kaz na mazoea kwa mbaaaali.Status zake watsap na view na yy zangu anaziona.Kwakua napenda muzik basi alikua ananikosha kwa baadh ya vi clip anavyotupia mara moja moja sana navi comment.
Siku moja nikawa sina ishu kabisa job na niko bored na bahat mbaya sana akaweka status ilonivutia basi kama kawaida nika comment (yy zangu huwa ha respond japo hizo mara moja moja sana naziweka) basi aka respond finaly tukaanza kuchat.
Tukachat mara ujinga ukaingia humo ndani na u cant believe siku hiyo hiyo nikamgonga mzigo vizuuri tu kiroho safi.

SASA iko hiv,
Ofcz mm nilimchukulia poa kumbe hayuko hivyo.Anajimilikia ka usafir kake mwenyewe kazur tu (mi zangu daladala so mpaka nampanga akajaa nikajua na yy wa level zangu 😁😁😁). Mida tunakutana ndio nikalijua hilo,nikapiga mzigo na kwa aibu nikamshikisha 40k ila manka yule akazikataa kata kata.Nikaona oohoh leo nimepima vibaya kumbe na yy akanichukulia mambo safi hela ninazo asijue mimi ni bahili kishenzii 😂.
Sikua na mpango na game tena na yy akanitengenezea mazingira next week yake nikagonga tena.Ohoooh sijui alijua na leo nitapanda dau tena!!!!???. WAPII.
kesho yake akapiga mzinga nikachomoa..
Week ijayo yake akani set tena Shi 100 mfukon sina.
Kwa mara nyingine akani text "leo ninw hamu kitimoto, ningepata kilo 1 jion yangu ingeisha freshi." Nikaona isiwe kesi nikamtumia 5000- elfu 5 😊 bila ya kutoleo.AKANIPOTEZEA MAZIMA hata message za kikazi hajibu tenaa..

Baadae saaaana huko akajaga ni text, HUENDANI KABISA NA UNAVYOONEKANA. WW BAHILI SANA.

Kwa kifupi alinichukulia nina hela kumbe njaa tu 😆😆😆😆😆
View attachment 1551569View attachment 1551569


Kiwembeeeeeeeeee🤸🙌! Huyu dada ulimfeel Sana na bado unamfeel hii ni mara ya 3 unamzungumzia..hahhahaa 🙌🤸
 
Nakumbuka kuna kipindi nilikuwa nakula sehemu(mgahawa).sasa ylule mpishi alikuwa akiniletea dharau sana kwa sababu nilikuwa naulizia ugali kila siku nikiwa pale,alikuwa analeta shobo zaidi kwa wale wanaonunua chipsi.

Lakini mwisho wa siku alikuja kubadilika alipogundua mimi ndiyo mkulima wa vile viazi anavyouza.
chaiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom