Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Udhaniavyo ndivyo kumbe sivyo.
Huyu miminimkulimaakachekasana huwa namwangalia kwa taswira tofauti kabisa.
Huyu miminimkulimaakachekasana huwa namwangalia kwa taswira tofauti kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama Aki na ukwaMimi kuna siku tena ni zaidi ya mara moja inanitokea, mara ya kwanza ilikuwa pale nje ya wizara ya ardhi niliegesha gari pembeni nikanunue gazeti narudi nakuta wale majamaa wamelifunga.
Nikaanza zozana nao wao jibu wanalonipa kamwite mwenye gari. Yani kila nalowambia wananiambia mwenye gari atalipa we unahangaika nini kamwite mwenye gari, dah ila mwisho nikampa 20,000 akalifungua nikasepa.
Mara nyingine nilikuwa pitiliza mataa wakati taa zimezuia, kumbe mbele kuna traffic, akandaka. Akaanza kunisngekuwa na boss wako usingefanya hivi na maneno mengi. Baadae, akaniomba leseni na kadi ya gari nikampatia akakuta kadi ya gari ina jina sawa na leseni.
Akasema kumbe gari lako nikamjibu ndiyo, akaishia kucheka akasema yani watoto wa kishua bwana mnakula maisha kwa pesa ya baba zenu. Mimi nikacheka tu akaniandikia faini nikasepa huku nikiwaza ungejua mimi mpambanaji tu.
Mara nyingine niliacha gari lilikuwa na matatizo na mimi nina haraka nikalipaki pembeni ya barabara nikachukue boda boda, kumbe huku nyuma askari wakapita lipo, wakapita tena lipo ikabidi watanaze times ambaye katelekeza gari akalichukue mimi sikuwa na habari.
Narudi baadae kulichukua nikiwa na fundi, gari silioni, namuuliza muuza matunda ndiye akaniambia wamelibeba wamelipeleka kituo cha polisi cha kawe. Kesho yake naenda kawe mkuu wa kituo akawa ananizngua kuwa nikamtafute mwenye gari, mpaka nilipofungua nikamwonyesha kitambulisho na kadi ya gari majina yana match. Aliniambia tu niwalipe waliolivuta nisepe tu.
Yani mimi nina mwili mdogo kama wa Mrehemu Ruge Mtahaba, nakutana ma mazarau sana maana hata nikivaa suti haikai ni kama imetundikwa tu.
fungukaUdhaniavyo ndivyo kumbe sivyo.
Huyu miminimkulimaakachekasana huwa namwangalia kwa taswira tofauti kabisa.
Kuhusu nini?funguka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inabidi atueleweshe kidogo Mana shule na busnesa Tena wapiMkuu hilo somo lilikuwa Business Au Commerce na Bookeping ?
alitegemea ww ni mtu wa ain gani kwani kapuku sana au alikuona una muonekano wa kihuni snaNakumbuka siku nareport shule kuanza 4m 5, sasa kufika pale ofisin kwa makamu wa shule kufanya usajiri,
Ile alivoniona akakaa kimya km dakika 10 anantazama tu, baadae akaniuliza full details zangu nkatoa kumpa (result slip na leaving) plus resit za michango mbalimbali.
Then akaangalia kweny file la selection alipoliona jina langu alishtuka na kuhamaki mno, akasema "ulivyo hufanani na kusoma tahasusi hii, tena kwa shule km hii, na matokeo yako ya 4m 4 na shule uliyotoka hufanani nayo" kiukweli nilijskia vibaya sanam
Ila still maisha yaliendelea hadi nikahitimu, siku nimeenda pale kuchukua results slip na leaving, ndo akanambia kuwa alivyokua anadhani sivyo na alivotegemea wala kuwepo.
Mie huyo nikasepa zangu.
Ahahahahaha...No comment 😷😷Kiwembeeeeeeeeee🤸🙌! Huyu dada ulimfeel Sana na bado unamfeel hii ni mara ya 3 unamzungumzia..hahhahaa 🙌🤸
Imenichekesha sana hii line.wengine tuko real lakin 😂Ha ha ha, watu wa jf wanatrend na tukio la mda huo
[emoji1787][emoji28]
Yan kuna watu kila mkasa ukianzishiwa thread humu basi na yy atatoa ushuhuda kuwa ulishawah kumtokea ahahahahahahhahahahahahahahah😀😀...huu uzi una fix za kutosha..Ila Kuna watu wanapenda stry za uongo uongo..lol..Bora na ww umeona
Tushaweka wengine zetu ni halis kabisaa 😆😆😆😆Angalau tupate kastori kwa ukweli kidogo tupumue[emoji39]
💃💃💃💃💃Chezea 💦Ahahahahaha...No comment 😷😷
OutlookUsimdharau yeyote kwa outward appearance,utakuja kuumbuka....heshimu mtu yeyote aliye mbele yako hata kama anaokota makopo
Mpaka hapo inabidi ushtuke na hiyo storee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inabidi atueleweshe kidogo Mana shule na busnesa Tena wapi
Ndevu na nywele zangu hazinaga ushirikianao, hivyo nywele uwa nanyoa kila wiki zikae size ya chini kabisa, ndevu naziacha lakini ziko kidevuni tu nazo hata niziache miezi hazizidi kimo flani.
Nilimsikia F.a anasema alianza kuwa na mwili alipoanza kwenda ym ili awe anakula sana, namimi nina mpango huo maana mwili hauna shukrani huu.
[/QUOTE/]
Duh..wengine tunatamani miili fulani wewe unataka mwili..dah..!
Dah...aisee acha tu.Karoho huwa kanauma sometimes.Sema tatizo naye alinielewa ndivyo sivyo dats y nikaamua kukaa pembeni 😎💃💃💃💃💃Chezea 💦
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yakinikuta yakunikuta wakati na Apply formula yako mkuu...
fahamu kwamba wewe ndio chanzo na sababu yakila kitu....
Jf kila mtu boss[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu uzi umejaa chai tupu, kila mwanaume ni " meneja"
Mmoja tu humu kwenye huu uzi namuamini na story zake coz namjua, yuko njema lkn hafananii kabisa na visenti vyake[emoji16][emoji16]
Senkiyu......ilikuja na boat hii mkuuOutlook