Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Napenda sana sana kupikapika na nipo vizuri kiasi sekta hiyo. Mama yangu anapika sana so alianza kunifundisha toka nipo mdogo sana.
My dream siku moja niwe na catering service yangu kubwa sana.
Pambania ndoto yako utafanikiwa wateja tupo humu
 
Miaka fulani nilikuwa na likizo ndefu ya chuo basi nikaona nisikae bure nikafungua kamgahawa katikati ya mji. Nilikuwa nauza bites zote, juice fresh na matunda fresh.

Nilikuwa karibu na ofisi nyingi na banks. Basi nikawa napata oda ya kupeleka bites na maziwa asubuhi pamoja na matunda.

Dada mmoja staff wa pale CRBD aliweka oda ya matunda kila ikifika saa 6 mchana, ikawa siku nyingine ukipeleka anakwambia umechelewa nishakula kwingine, au leo sili basi narudi nayo. Au ukienda siku nyingine anakuangalia tuu hapokei matunda unabaki umesimama kama sanamu na matunda yako.

Siku moja nikaenda nikiwa na shida ya kufungua joint acc, kufika kwake hata sijamsalimia kanijibu leo sitaki matunda. Nikamwambia nina shida nyingine kabla sijaeleza akajibu tena "hapa tunasikiliza za kiofisi tuu hivyo ondoka". Sijui alijua nataka msaada wa hela au vipi.

Ikabidi niwe mpole maana alikuwa peke yake kwa muda ule customer service pale. Nikamweleza nahitaji fomu kufungua joint acc na mama yangu. Akachukua fomu akanipa akaniuliza "utaweza kusoma na kuzijaza kweli na mama yako??" Nikamjibu ndio. Akaniambia viambatanisho vinavyohitajika nikaondoka kesho nirudishe fomu.

Kesho yake nimeenda na mama, kufika pale akamkaribisha akakae kwenye kiti mimi akaniambia kasubiri pale yaani pembeni, ndio mama akamwambia nimekuja na binti yangu tunafungua joint acc, kwanza alistuka akamuuliza ni mwanao kumbe mama sikujua. Akaishiwa pozi.

Basi katika kupiga stori na bimkubwa akamwambia sikujua kama una binti mkubwa, bimkubwa akamwambia mara nyingi hayupo nyumbani kwasasa yupo likizo anasoma masters huko mkoa X. Alishangaa kwa nguvu Masters?? Aliniangalia sana. Miaka hiyo bimkubwa na mzee walikuwa wafanyabiashara wakubwa sana mkoani na chapaa zipo za kutosha wanajulikana kila kona. Bank pale walikuwa wanajulikana sana.

Dada alikosa raha sana hadi muda anatoa copies akaniambia dada kakae kwenye kiti [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] toka siku hiyo alianza na kunisalimia na kunichangamkia. Mimi wala sikumwonyesha tofauti nikaendelea kumpelekea matunda.
Emotional maturity yako ipo juu sana.
 
W
Kwanza naomba 'nidiclee' kwamba mm ni mmoja wa ME ambae si mtu wa fashion, yani mimi sijui kuvaa kabisa na sina hiyo passion ya pamba pamba. Nishawahi kusemwa sana na ma-ex wangu kuhusu uvaaji wangu lakini haikusaidia kitu.

Sasa weekend iliyopita nilienda sehemu moja flani hivi amazing, chimbo la uhakika haswaa, limejitenga na limetulia kweli. Nilipigilia kipensi changu na ka t-shirt flan hivi local nikachagua sehem nikakaa, kutizama vizuri nikaona kuna meza amekaa mdada mmoja hivi and of coz she is gud looking nikaamua kujitosa angalau kumpa hata hi 'coz tulikuwa wateja 2 tu, nikamfata nikamsalimu.

Yule dada kwanza alinishusha kuanzia juu mpaka chini then akaitikia salamu yangu ki-design kama namsumbua flani hivi. Nikaomba kujumuika nae kama asipojali. Jibu lake ndo lilinitoa confidence kabsa, alinambia: "Kwahiyo kaka unadhani kila msichana akikaa peke yake anahitaji kampani? Hapana sihitaji" Dah, mwanamme nikajizoazoa pale nikarudi nilipokaa. Nilikaa kama masaa ma3 hivi nikaamsha zangu. Sasa kilichotokea jana ndo kimenifanya niandike huu uzi.

Nilipokea maagizo kuanzia J3 ya wiki hii kuwa leo watakuja watu wa Taasisi flani ya kifedha kutoa semina kwa sisi wafanyakazi kwa ajili ya kutushawishi kujiunga na huduma za Taasisi yao, hivyo mimi nikapewa jukumu la kuwakaribisha na kuwapeleka sehemu ambapo semina itafanyika.

Asubuhi mida kama ya saa 3 hv ugeni ukafika, walikuwa watu kama 7 hivi, kati yao alikuwepo yule dada nilieonana naye weekend.

Wakaingia ofisini nikawakaribisha, wakati mkubwa wao anatoa introduction macho nikayakaza kwa yule dada, bahati nzuri tukagonganisha macho, akashtuka flani, nikajua kashanikumbuka.

Baada ya semina kuisha ikafika kipindi cha watu kujiunga sasa kwa walioshawishika. Nikamfata yule dada nikamuomba aje anielekeze namna ya ujazaji fomu. Alivyofika tu, nikamuuliza "Unanikumbuka?" Akachekaaa, akaniambia "Yani wewe, sikutarajia kama unaweza kuwa unafanya kazi huku", nikamuuliza ulitarajia niwe nafanya kazi wapi? Akaishia kucheka tu. Mawasiliano yake kanipa; fresh bila shida kabisa.

Sasa naomba kuuliza wadau, mshawahi kukutana na situation ya namna hii?
wewe ni popoma haswa yani hukumla?
 
SASA ruge ana mwili mdogo?
Mimi kuna siku tena ni zaidi ya mara moja inanitokea, mara ya kwanza ilikuwa pale nje ya wizara ya ardhi niliegesha gari pembeni nikanunue gazeti narudi nakuta wale majamaa wamelifunga.

Nikaanza zozana nao wao jibu wanalonipa kamwite mwenye gari. Yani kila nalowambia wananiambia mwenye gari atalipa we unahangaika nini kamwite mwenye gari, dah ila mwisho nikampa 20,000 akalifungua nikasepa.

Mara nyingine nilikuwa pitiliza mataa wakati taa zimezuia, kumbe mbele kuna traffic, akandaka. Akaanza kunisngekuwa na boss wako usingefanya hivi na maneno mengi. Baadae, akaniomba leseni na kadi ya gari nikampatia akakuta kadi ya gari ina jina sawa na leseni.

Akasema kumbe gari lako nikamjibu ndiyo, akaishia kucheka akasema yani watoto wa kishua bwana mnakula maisha kwa pesa ya baba zenu. Mimi nikacheka tu akaniandikia faini nikasepa huku nikiwaza ungejua mimi mpambanaji tu.

Mara nyingine niliacha gari lilikuwa na matatizo na mimi nina haraka nikalipaki pembeni ya barabara nikachukue boda boda, kumbe huku nyuma askari wakapita lipo, wakapita tena lipo ikabidi watanaze times ambaye katelekeza gari akalichukue mimi sikuwa na habari.

Narudi baadae kulichukua nikiwa na fundi, gari silioni, namuuliza muuza matunda ndiye akaniambia wamelibeba wamelipeleka kituo cha polisi cha kawe. Kesho yake naenda kawe mkuu wa kituo akawa ananizngua kuwa nikamtafute mwenye gari, mpaka nilipofungua nikamwonyesha kitambulisho na kadi ya gari majina yana match. Aliniambia tu niwalipe waliolivuta nisepe tu.

Yani mimi nina mwili mdogo kama wa marehemu Ruge Mtahaba, nakutana mazarau sana maana hata nikivaa suti haikai ni kama imetundikwa tu.
 
SASA ruge ana mwili mdogo?
Yah alikuwa na mwili mdogo. Hata yeye aliwahi kuweka wazi kwenye interview moja kuwa watu wengi ambao hawakuwahi kukutana naye walikuwa wakikutana naye na kujua yeye ndiye ruge walikuwa wanamshangaa kwa sababu ya mwili wake.
By the way sasa hivi nimeongezeka sana hadi natamani kupungua tena. Mwili mdogo kumbe una raha yake aisee. Sasa nachoka hovyo
 
Siku moja tumekaa pale morogoro round about Stendi ya viahice kwà fundi viatu anaitwa shomari. Wamekaa watu wengi kwenye mabenchi tunapiga stori sasa tulikuwa tumekaa na jenerali mstahafu wa jwtz akiwa amepaki gari yake kwenye kituo cha mafuta pale round about sass wakaja watu wa wrong parking wakalitia mnyororo lile gari. Bila kujua ni lanani yule jenerali akamtuma kijana mmoja mchoma mihogo akamwambia akawaambie wale jamaa wa wrong parking wafungue gari yake. Jamaa wakakataa. Jenerali akapiga simu kwà mkuu wa mkoa duuu dakika sifuri ffu hawa hapa tukashangaa jamaa wa wrong parking ndio wako juu ya karandinga wanaenda mahabusu.
 
Siku moja tumekaa pale morogoro round about Stendi ya viahice kwà fundi viatu anaitwa shomari. Wamekaa watu wengi kwenye mabenchi tunapiga stori sasa tulikuwa tumekaa na jenerali mstahafu wa jwtz akiwa amepaki gari yake kwenye kituo cha mafuta pale round about sass wakaja watu wa wrong parking wakalitia mnyororo lile gari. Bila kujua ni lanani yule jenerali akamtuma kijana mmoja mchoma mihogo akamwambia akawaambie wale jamaa wa wrong parking wafungue gari yake. Jamaa wakakataa. Jenerali akapiga simu kwà mkuu wa mkoa duuu dakika sifuri ffu hawa hapa tukashangaa jamaa wa wrong parking ndio wako juu ya karandinga wanaenda mahabusu.
[emoji23]Hawa jamaa wa wrong parking wanajifanyaga hawaelewagi ,wao Kila gari wanaitia Pini ,Sasa nadhani watajifunza kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hizo huwa nakutana nazo sana na imefika kipindi sasa nimezoea na pia nachukulia kama advantages yakuweza kusikia hata watu wanakuongea bila kujua kuwa ni wewe.

Hii imetokana na asset nazomiliki haziendani sana na muonekano wangu kwamaana hiyo Kuna kipindi nanunua viwanja nakuwa nimeshafika site ila bado unakuta muuzaji ananisubiri huku ananisema kuwa boss wenyewe hajali muda bila kujua ndie mimi.

Moja Kali nayokumbuka nilikuwa kwenye ujenz wa nyumba yangu yakuishi sasa kipindi nanunua mtendaji hakuwepo japo muhuli wake ulitumika kwa niaba, sasa nimeanza ujenzi nikawa nimemtoa mwenyekiti kidogo Ili anisimamie mambo ya kibali Cha ujenz kama mnavyojua ujenz wa dar unamambo mengi, basi nipo na mafundi nimejichanganya mara naona jopo la watu limenituzunguka wanataka mwenye nyumba yupo wapi, mafundi wakasema ongeeni na huyo wakanioneshea mm , nikamsogelea dada habari yako akajibu ahaa Mimi sitaki msimamizi nataka mwenye nyumba Yani anayejenga maana huyu atanielewa nn?

[emoji23]
Mafundi wakacheka huku wanasubiri kitatokea nn[emoji23]. Nikauliza sasa kama msimamizi maana kwaakuwa kaamua kunichukulia hivyo basi nikavaa huo uhusika, kwani dada Kuna shida gani? Akaanza nyie mnakibali au unakuja kusimamia vitu hujui kitu, kwanza taarifa yenu Sina kbsa asee taarifa ya huu ujenzi naamuru usimame mpigie boss wako, mwambie mtendaji kasimamisha ujenzi mpaka mpate kibali. Bahati yake site for men akatokea akamuita kwa jina we Fulani vipi hapo mbona mnaongea na boss wangu kwa ukali? Akabaki kamtolea macho kwa mshangao, akajikaza akasema namtaka mwenye nyumba. Jamaa akamjibu si huyo hapo ukonae [emoji23]

Nikabaki natabasam tu yy macho yamemtoka maana mjengo si haba ikambidi avunge, haijalishi anakibali sasa kwa sauti ya chini sasa [emoji23], jamaa akamwambia kamuulize mwenyekiti wako huyo kashamaliza Kila kitu. Daaaah akalowa eh basi kaka karibu sana tutasaidia kwenye mambo ya maendeleo mm huwa sipingi maendeleo ni utaratibu tu jamani, nikamuangalia tu akajizoazoa akasepa ikabaki gumzo tu pale aasee.
 
Kwanza naomba 'nidiclee' kwamba mm ni mmoja wa ME ambae si mtu wa fashion, yani mimi sijui kuvaa kabisa na sina hiyo passion ya pamba pamba. Nishawahi kusemwa sana na ma-ex wangu kuhusu uvaaji wangu lakini haikusaidia kitu.

Sasa weekend iliyopita nilienda sehemu moja flani hivi amazing, chimbo la uhakika haswaa, limejitenga na limetulia kweli. Nilipigilia kipensi changu na ka t-shirt flan hivi local nikachagua sehem nikakaa, kutizama vizuri nikaona kuna meza amekaa mdada mmoja hivi and of coz she is gud looking nikaamua kujitosa angalau kumpa hata hi 'coz tulikuwa wateja 2 tu, nikamfata nikamsalimu.

Yule dada kwanza alinishusha kuanzia juu mpaka chini then akaitikia salamu yangu ki-design kama namsumbua flani hivi. Nikaomba kujumuika nae kama asipojali. Jibu lake ndo lilinitoa confidence kabsa, alinambia: "Kwahiyo kaka unadhani kila msichana akikaa peke yake anahitaji kampani? Hapana sihitaji" Dah, mwanamme nikajizoazoa pale nikarudi nilipokaa. Nilikaa kama masaa ma3 hivi nikaamsha zangu. Sasa kilichotokea jana ndo kimenifanya niandike huu uzi.

Nilipokea maagizo kuanzia J3 ya wiki hii kuwa leo watakuja watu wa Taasisi flani ya kifedha kutoa semina kwa sisi wafanyakazi kwa ajili ya kutushawishi kujiunga na huduma za Taasisi yao, hivyo mimi nikapewa jukumu la kuwakaribisha na kuwapeleka sehemu ambapo semina itafanyika.

Asubuhi mida kama ya saa 3 hv ugeni ukafika, walikuwa watu kama 7 hivi, kati yao alikuwepo yule dada nilieonana naye weekend.

Wakaingia ofisini nikawakaribisha, wakati mkubwa wao anatoa introduction macho nikayakaza kwa yule dada, bahati nzuri tukagonganisha macho, akashtuka flani, nikajua kashanikumbuka.

Baada ya semina kuisha ikafika kipindi cha watu kujiunga sasa kwa walioshawishika. Nikamfata yule dada nikamuomba aje anielekeze namna ya ujazaji fomu. Alivyofika tu, nikamuuliza "Unanikumbuka?" Akachekaaa, akaniambia "Yani wewe, sikutarajia kama unaweza kuwa unafanya kazi huku", nikamuuliza ulitarajia niwe nafanya kazi wapi? Akaishia kucheka tu. Mawasiliano yake kanipa; fresh bila shida kabisa.

Sasa naomba kuuliza wadau, mshawahi kukutana na situation ya namna hii?
Uyo mpige🥒 Kisha tembea
 
Ph.D hapana mkuu bado na sina mpango kwa sasa . Nimeshakuwa na familia sasa hivi hata kusoma sitaweza mambo mengi sana. Labda miaka miiingi mbeleni kama Mungu atatupa uhai.
Hii nchi ina uhitaji wa Ph.D katika maeneo mbalimbali ya kitaaluma na kitafiti katika taasisi nyingi.
Hivyo angalia uwezekano wa kufanya jambo juu ya hilo pindi upatapo nafasi mkuu.
 
Kwanza naomba 'nidiclee' kwamba mm ni mmoja wa ME ambae si mtu wa fashion, yani mimi sijui kuvaa kabisa na sina hiyo passion ya pamba pamba. Nishawahi kusemwa sana na ma-ex wangu kuhusu uvaaji wangu lakini haikusaidia kitu.

Sasa weekend iliyopita nilienda sehemu moja flani hivi amazing, chimbo la uhakika haswaa, limejitenga na limetulia kweli. Nilipigilia kipensi changu na ka t-shirt flan hivi local nikachagua sehem nikakaa, kutizama vizuri nikaona kuna meza amekaa mdada mmoja hivi and of coz she is gud looking nikaamua kujitosa angalau kumpa hata hi 'coz tulikuwa wateja 2 tu, nikamfata nikamsalimu.

Yule dada kwanza alinishusha kuanzia juu mpaka chini then akaitikia salamu yangu ki-design kama namsumbua flani hivi. Nikaomba kujumuika nae kama asipojali. Jibu lake ndo lilinitoa confidence kabsa, alinambia: "Kwahiyo kaka unadhani kila msichana akikaa peke yake anahitaji kampani? Hapana sihitaji" Dah, mwanamme nikajizoazoa pale nikarudi nilipokaa. Nilikaa kama masaa ma3 hivi nikaamsha zangu. Sasa kilichotokea jana ndo kimenifanya niandike huu uzi.

Nilipokea maagizo kuanzia J3 ya wiki hii kuwa leo watakuja watu wa Taasisi flani ya kifedha kutoa semina kwa sisi wafanyakazi kwa ajili ya kutushawishi kujiunga na huduma za Taasisi yao, hivyo mimi nikapewa jukumu la kuwakaribisha na kuwapeleka sehemu ambapo semina itafanyika.

Asubuhi mida kama ya saa 3 hv ugeni ukafika, walikuwa watu kama 7 hivi, kati yao alikuwepo yule dada nilieonana naye weekend.

Wakaingia ofisini nikawakaribisha, wakati mkubwa wao anatoa introduction macho nikayakaza kwa yule dada, bahati nzuri tukagonganisha macho, akashtuka flani, nikajua kashanikumbuka.

Baada ya semina kuisha ikafika kipindi cha watu kujiunga sasa kwa walioshawishika. Nikamfata yule dada nikamuomba aje anielekeze namna ya ujazaji fomu. Alivyofika tu, nikamuuliza "Unanikumbuka?" Akachekaaa, akaniambia "Yani wewe, sikutarajia kama unaweza kuwa unafanya kazi huku", nikamuuliza ulitarajia niwe nafanya kazi wapi? Akaishia kucheka tu. Mawasiliano yake kanipa; fresh bila shida kabisa.

Sasa naomba kuuliza wadau, mshawahi kukutana na situation ya namna hii?
Kila siku tunakutana na makubwa zaidi ya hayo. Tena kwa sisi tunaojua kujifanya punda maji tunawashangaza watu mara nyingi na tunaonbwa msamaha sana na watu. Ni ujinga kujaji mtu kwa mavazi au sura.
 
nilimkazia dada mmoja alipotaka nisalimia, hata nilipo jua yuko kitengo kizuri sana bado nilimkazia maana niliona ni ubwege kujishusha

mwisho wa siku alinifata akanambia we ni jeuri sana ila ndio mwanaume anafaa kuwa ivo

tangu hapo n mchizi wangu na hunipa assist sana tu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom