Ushawahi kufanya roho mbaya ilimradi kuweka jambo fulani sawa?

Write your reply...kwahiyo mwamba uliona mi nafaidi sio kut..o. m ..ba binamu yako na ww ukaamua kuto..mbwa bandani sio! lakini furesh...
 
Sisters zangu wawili walikua wanatabia za kuzalia home, mabwana zao hatuwajui wanajitokeza baadae wakati mama kaangaika sana na kujifungua kwao.
Nimemaliza form six nimerudi home miaka ya 2000 mids, nikakuta mmoja tumbo kubwa hataki kutaja, kiburi tu! Nikatulia tu, sasa siku ya siku usiku mkubwa ukamwanza uchungu aisee, niko na maza tu na yeye... Mama akaja niaamusha niwapeleke hosp, mama halikua hajui chochote khs gari, aligongaa mlango nilikaa kimya, ailibembeleza wee Huku anaanza vuja damu balaa sijui nilikaa kimya, akatoka akaenda kwa majirani ndio kuchukua taxi, kesho wanarudi kajifungua wananiangalia sikujali niliwachoka
 
Duuh mkuu kweli hayo yalikuwa maamuzi magumu
 
Nilipanga nimuoe mtoto wa mzee Hilary ana biashara ya malori kusafirisha nyanya mi sikuwa na kitu wakati huo


Sherehe waligaramia upande wa mwanamke mchango nilikuwa nakao nao mimi .baadae ela zilivyo kuwa nyingi nilikimbia nazo nikamuacha mtoto wao kwenye mataa sikumuoa





Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28] kwa kile alichofanywa jamaa siku ile sometimes nikikumbuka namwonea huruma, na mimi nilipata funzo
 
Hahaha, hamkuwahi kuwasiliana tena?
 
Nishawai kuua mara kadhaa mashahidi wa kesi na hatimaye mafile yanafungwa mtu anakua huru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…