Kweli kabisaMa dj waga waduazi sana wanajifanya mademu wazur wote wanaokuja clabu au bar ni spesho kwa ajili yao tu. Demu anakupanga fresh alafu badaye utamkuta yupo kwa dj pembeni kama kifaraga cha kuchi hapo kumtoa inakuwaga ngumu sana sana sana ukiforce utaishia kumaliza pesa zako tu tena mkimpa bia nyingi anampa na dj (fck$) kabisa.
Ma DJ jau sanaa acheni hizo mambo alafu njaaaa kaliiii sanaaaaaaaaa mnataka mademu kinguvu sana na nyie mademu acheni shobo kuwa karibu na dj sio ujanjaaa ni ushambaaa plus
Kweli kabisaPole sana mkuu, inauma kwa kweli ila yatapita tu.
Ma dj waga waduazi sana wanajifanya mademu wazur wote wanaokuja clabu au bar ni spesho kwa ajili yao tu. Demu anakupanga fresh alafu badaye utamkuta yupo kwa dj pembeni kama kifaraga cha kuchi hapo kumtoa inakuwaga ngumu sana sana sana ukiforce utaishia kumaliza pesa zako tu tena mkimpa bia nyingi anampa na dj (fck$) kabisa.
Ma DJ jau sanaa acheni hizo mambo alafu njaaaa kaliiii sanaaaaaaaaa mnataka mademu kinguvu sana na nyie mademu acheni shobo kuwa karibu na dj sio ujanjaaa ni ushambaaa plus
Umeongea kwa hisia sana.🙄Ma dj waga waduazi sana wanajifanya mademu wazur wote wanaokuja clabu au bar ni spesho kwa ajili yao tu. Demu anakupanga fresh alafu badaye utamkuta yupo kwa dj pembeni kama kifaraga cha kuchi hapo kumtoa inakuwaga ngumu sana sana sana ukiforce utaishia kumaliza pesa zako tu tena mkimpa bia nyingi anampa na dj (fck$) kabisa.
Ma DJ jau sanaa acheni hizo mambo alafu njaaaa kaliiii sanaaaaaaaaa mnataka mademu kinguvu sana na nyie mademu acheni shobo kuwa karibu na dj sio ujanjaaa ni ushambaaa plus
Kama ilivyo mademu kupenda kukaa pembeni kwa dereva wa chombo au mchoma mishikaki na mkaanga chips hivyohivyo humfananisha dj na kaanga chips ndiyo sababu wanapenda kukaa makwapani mwao.Ma dj waga waduazi sana wanajifanya mademu wazur wote wanaokuja clabu au bar ni spesho kwa ajili yao tu. Demu anakupanga fresh alafu badaye utamkuta yupo kwa dj pembeni kama kifaraga cha kuchi hapo kumtoa inakuwaga ngumu sana sana sana ukiforce utaishia kumaliza pesa zako tu tena mkimpa bia nyingi anampa na dj (fck$) kabisa.
Ma DJ jau sanaa acheni hizo mambo alafu njaaaa kaliiii sanaaaaaaaaa mnataka mademu kinguvu sana na nyie mademu acheni shobo kuwa karibu na dj sio ujanjaaa ni ushambaaa plus