Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

Nilikuwa nacheki interview ya Nancy alofanyiwa na Zamaradi, alishauri kuwa kama haujaolewa epuka sana mwanaume mwenye mtoto tayari. Nilimuelewa sanaaaaa.
Nancy sumari?

Yalimkuta yapi?
 

Wewe pia ni mbinafsi sana,unawezaje kumshauri mtu apambane na mtu mbinafsi?
 
Niliharibu na mchuchu wa humu, ikabidi nisawazishe kwa kubadili kila kitu mkuu.
Ulimmbato bure?

Naona umeamua kujiachia sasa, zamani ndoa this ndoa that[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]
 
Ulimmbato bure?

Naona umeamua kujiachia sasa, zamani ndoa this ndoa that[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilimla nikakimbia mkuu!

Ni muumini wa ndoa miaka yote mkuu na naamini katika uaminifu, sema si unajua wapare na utam![emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilimla nikakimbia mkuu!

Ni muumini wa ndoa miaka yote mkuu na naamini katika uaminifu, sema si unajua wapare na utam![emoji23][emoji23]
Haahaaahaaa jus hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji38]
 
Pole shangazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…