Ushawahi kuibiwa kitu chochote na mpenzi wako?

Nimeenda kwake, kanitumia afu kasema hana pesa atanitumia baadae kwenye simu.
Kaenda kuoga nikasepa na flat screen yake pamoja na dekoda ya Azam.
Namba yangu ya simu hana....atanipataje.
Mpaka leo ninavyo
Kuna taswira naiona kwako !
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaa
 
Mimi kuna demu aliwahi kuondoka na tshirt yangu moja na boxer zangu kama tatu hivi, wiki nzima najiuliza, huyu fala anataka kuniroga nini? Nilipata stress kama wiki moja hivi, ila baada ya kuona niko kamili gado, nikampotezea, na Ikawa ndio mara ya kwanza na ya mwisho kumtafuta, demu mwenyewe ni kisu ila kapitia mahusiano mengi hadi unajiuliza kwa nini wana wanakimbia!
*** ndio ilikuwa siku ya kwanza kuja kwangu***
 
Chaudokozi huyoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…