Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

😃😃Yan baada ya kulia nikaanza kucheka kwanza nilipoteza daftar tangu ijumaa nikaenda navojua mm mwl nae katunga anavotaka yeye na mm nimesoma navojua mm ule mtihani nikipata saba mm genius 😂😂😂
7/20? Kuna kipindi Udsm kozi ya hesabu(MT) alikua anafundisha mkorea, Sasa yeye kabla ya test utakuta kwenye li projectile lake anawaambia kabisa maswali atayotoa kesho, watu coursework karibu wote Wana 40/40 jamaa si akarudi kwao, wakaja Sasa wabongo( Wasaga kunguni) kwanza wanashangaa mbona Kila mtu ana course work kubwa ivi, aisee u.e ilitungwa mauaji, watu baada ya kusoma tu mtihani hall zima likaanza kucheka, hakuna aliyepata A, B+ zilikua tatu sijui, yaani Hawa wajinga walihakikisha u.e kati ya maksi 60 hupati 20, wabongo tuna roho ya korosho Sana😀😀
 
😃😃Wabongo ndo tulivo sisi Mwalimu kasema kabisa topics anazotungia mtihani Kwa kuzitaja mtihani ulokuja Sasa😂😂😂
 
kuna la kujifunza hapa na mm nisij kumpoteza mke wangu ujinga wangu
 
Kikao Cha lavalava
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…