Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Kwema? Nakushauri ukitaka haya mambo yaishe vizuri muombe mama mkwe mzigo mpige miti,nisaidie namba ya huyo dogo
 
Mkuu mimi kuna mazingira nlikula mtu na dada ake...baadae mmoja akaja kustuka..tena kwenye kipindi ambacho wote wana mimba yangu...uzuri mmoja alikubali kutoa mwingine akakaza akazaa..ila aliyetoa huwa ananimind kila cku, akimuona wa mwenzie...haya mabalaa kama hayajawahi kukuta unaweza sema ni script za kutunga...
 

Haya mambo nilikua nasoma kwa iddy makeongo nikawa siamini ila Sasa naanza kuamini ,Dunia Ina Mambo kweli
Iddi Makengo anatunga stori tu kuvutia wanawake
 
We ungepokea simu ukamuelekeza chumba harafu akaingia ukasikiliza anasema nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Lily Tony
 
kwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Mtu na dada yake Una wala vizuri tu kama wameamua kukubless , Mimi ilinitokea kuna Mademu mtu na dada yake walijichanganya nikapita nao though hawakuwa type yangu nilipiga tu Ile hit and run

Kwanza alianza dada mtu akanipa nili mwambia Tufanye Siri maana mtu mwenyewe ni mcharuko Na Mimi Nina heshima zangu kumbe bwana akawa akikaa na ndugu / Rafiki zake ana tangaza kuwa tuna mahusiano, sindio siku Moja Nika kutana na mdogo wake wa kike , akawa ana niita shemeji nikamuuliza Mimi shemeji yako Kwa Nani nikawa najifanya sijui alicho maanisha , akasema si kwa - dada Fulani ,

Nilichofanya Mimi Nika Kataa kata kwamba sijawahi kuwa na mahusiano na Huyo mtu , Yule binti akajibu basi itakuwa dada anakutaka , Nika mwambia yaani Mimi niache kutoka na wewe nitoke na dada yako Yule mapepe kakawa kanacheka Cheka , Kaka Nipa namba za simu siku Nika kavuta home Nika kat****ba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…