King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
Mirathi hii nimejichagulia na sitaki kupangiwa! Ila nashukuru kwa strict upbringing, imenisaidia sana na hii gun ya urithi ndo usiseme!
Sasa dingi hapo kwenye kuficha mambo kwa Ngina ndo tunapokosana! Talk to the lil gal! Tell her kumvulia nguo mwanaume kabla hajakuoa ni kujishushia heshima yako! Build that kichwani kwake! Wata-pollute mind yake afu tubadili kilio sasa hivi, usiniite ujue!
Sasa dingi hapo kwenye kuficha mambo kwa Ngina ndo tunapokosana! Talk to the lil gal! Tell her kumvulia nguo mwanaume kabla hajakuoa ni kujishushia heshima yako! Build that kichwani kwake! Wata-pollute mind yake afu tubadili kilio sasa hivi, usiniite ujue!
Mie visa vyangu huwa wanarithi watoto wa kiume tu, sasa sijui wewe hiyo mirathi umeipataje.............!? LOL
Naomba nikupongeze kwa namna ulivyoweza kukopi na kupesti tabia zangu, si unajua wakati nawalea nilikuwa nawashikisha adabu na henzirani pale mnapotoka nje ya mstari. nilikuwa sina mchezo na ndio maana mmekuwa na adabu na hishma mpaka ukubwani.
Kuna jirani yangu watoto wake wa kike hawa adabu kabisa, unaweza kukuta usiku wazazi wamelala wao wako nje kibarazani eti wanapiga stori na washkaji zao, kumbe wanafanya Malabuku viambazani mwa uzio wetu, tukiamka asubuhi tunakuta vifanyio kila kona. kuna siku huyu mdogo wako Ngina aliniuliza ni nani anatupa vile vifanyio pale nje kwetu nikamwambia ni watoto wa majirani wasio na staha na miili yao. lakini alipotaka kujua zaidi, maana Ngina haishi udadisi nikamkata kalma na kumtaka akajifungie chumbani kwake afanye home work.