Ushawahi kumpenda mpenzi wa rafiki yako

demu wa best friend wangu aliwahi kunielewa sana akawa anatengeneza mazingira juu chini ili nimtafune, she is so hot lakini sikumla kwanza kinyaa maana walikua wanapigana midenda mbele yangu pili respect kwa jamaa maana ningekua na shida yeye ndio angekua mtu wa kwanza kunisaidia demu ata akupende vp yy n mtu wa kupita tu.
 
Sema hii imekaa kizazi sana...ndio inatakiwa iwe hivyo, sio mtu kabwaga siku tatu tu ushaanza kuparamia kimya kimya. Ila umezingua kama manzi kweli ana mipango ya kimaisha ungeyajenga nae tu mkuu. Sio kila ndoa itaanza na will you marry me. Demu akiwa smart unayajenga nae tu
 
Ameshaolewa mkuu na sasa ana mtoto mmoja kwenye ndoa yake,,,nasikitika nilifanya utoto kujiona muda bado ,yule manzi alikua bright afu mstaarabu sana na tangu ameolewa hakuwa nivulia chupi wala kutaka ukaribu na mimi kwa sababu anaheshimu mtu aliyempa heshima ya kuitwa mke na mama.

Mbaya zaidi au kizuri zaidi yule manzi ni mchakarikaji nakumbuka aliwahi kuniandika biashara fulani nifanye na tulipoachana niliifanya ikanisogeza kimaisha na yeye pia kwa sasa anaishi maisha mazuri ningelikua nae sijui ningekuwa wapi.
 
Dah uliyumba sana, manz wa hivyo huwa tunaunga nao mazima yani tena akiwa cute na msimamo hio combination ngumu sana kuiotea, wengi wao wanakuwaga muonekano wa gwajima bae!
Sema tulia tu unaeza kutana na mwengine alie fresh freshi
 
Pamoja Man!

Ila Gwajima bae[emoji3][emoji3][emoji3] dah hapo umefungua siku yangu kwa kicheko
Dah uliyumba sana, manz wa hivyo huwa tunaunga nao mazima yani tena akiwa cute na msimamo hio combination ngumu sana kuiotea, wengi wao wanakuwaga muonekano wa gwajima bae!
Sema tulia tu unaeza kutana na mwengine alie fresh freshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…