Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ipi hyoHivi ishawahi kukutokea kupanda daradara moja mara 2 hii hali imenitokea leo naenda kazini na kurudi
Kwann ulifanya hivyo...je kila ukienda unakua peke yako au kuna wateja wengine nao wanatumia vijiko?Hapa uzi tayari!
Mimi mgahawani kuna kijiko nilikiwekea alama kisirisiri, cha ajabu kila nikienda hapo naletewa kijiko kile kile, hata kama ni mhudumu mgeni.
Ahahahah..aliekutumia nauli ghafla akawa hapokei cm 😂😂 au shida ilikua nini?Mi nishaipanda daladala mpaka kituo cha mwisho na kugeuza nayo
Nikichoka kaa home ndivyo nafanyaAhahahah..aliekutumia nauli ghafla akawa hapokei cm 😂😂 au shida ilikua nini?
Nikichoka kaa home ndivyo nafanya
Safi ni jambo jema.Siku nyingine ukichoka sema nikupe location 😎Nikichoka kaa home ndivyo nafanya
Umejisikiaje, kwamba umelikomoa dala dala?Hivi ishawahi kukutokea kupanda daladala moja mara 2 hii hali imenitokea leo naenda kazini na kurudi
Mkuu umelikomoa kweli dala dala, je hujachelewa kufika kazini kwa kupanda dala dala lingine?Hivi ishawahi kukutokea kupanda daladala moja mara 2 hii hali imenitokea leo naenda kazini na kurudi
Sawa mkuu nitakushtuaSafi ni jambo jema.Siku nyingine ukichoka sema nikupe location 😎
Ahahahahahah!!! Jiwe limesikika mshindoMara nyingi tu.
Nyie mlioanza kupaki magari mtaona ajabu.
#MaendeleoHayanaChama
Wewe hujapaki?Ahahahahahah!!! Jiwe limesikika mshindo