Ushawahi kupata mwenza humu JamiiForums?

Nilimpataga enzi hizo nasoma, alinitunza, alinisaidia ada....sijui ilikuwaje tunakaachana. Ila Mimi ndo nilikuwa tatizo, utoto ulikuwa mwingi.
Popote alipo namshukuru, sijawahi kusahau wema wake kwangu.
 
Subiri aingie kama ataingia

Yan kama ana vigezo vya kuingia 🀣

Akitemwa atafyata kama ulivyofyata
Usimuonee wivu

Hahaha
Eti cocaaa na we utaingia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…