Kwema wadau? Leo kwenye pitapita zangu mtandaoni nilikutana na picha hii chini ya huyo mwamba aliyeshinda Milioni 10 kwenye kampuni moja ya kubetti mtandaoni, Sokabet.
Nilibaki najiuliza tu huyo mwamba anajiskiaje? Furaha sana maana inawezekana hajawahi kushika pesa nyingi hivyo? Au anajiskia uoga pia akifikiria kuitumia vibaya? Vipi akifikiria kuombwa na kila mtu wake wa karibu? Nawaza ila sipati majibu kwasababu haijawahi kunitokea!
Nilibaki najiuliza tu huyo mwamba anajiskiaje? Furaha sana maana inawezekana hajawahi kushika pesa nyingi hivyo? Au anajiskia uoga pia akifikiria kuitumia vibaya? Vipi akifikiria kuombwa na kila mtu wake wa karibu? Nawaza ila sipati majibu kwasababu haijawahi kunitokea!