Ushawahi kushuhudia wizi wa kipumbavu?

daxy Jr

Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
88
Reaction score
307

Wahalifu wengi huiba pesa, vito, magari na vitu vya thamani kama hivyo

Lakini mhalifu huyu ni tofauti kidogo.

Mnamo Oktoba 2016- mtu huyu alikwenda kwenye duka la furniture na kuiba ''window blinds'' kisha akaificha kwenye koti lake kama unavyoona hapo juu!

Wafanyikazi walimuona kupitia CCTV cameras na wakashangazwa sana na ujasiri wa huyu jamaa. Walianza kumfatilia na walipomkaribia jamaa alitupa mzigo huo aliouiba na kukimbia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…