😂😂😂asee bamwenye nyumba aliielewa ikabidi apite nayo!Niliibiwa boksa na baba mwenye nyumba wangu, ya Jeezy, baada ya siku chache nikakuta kaivaa
Uliikutaje kaivaa?? Hebu fafanua hapa.Niliibiwa boksa na baba mwenye nyumba wangu, ya Jeezy, baada ya siku chache nikakuta kaivaa
Lofq huyo ungemuongezeq nyingineNiliibiwa boksa na baba mwenye nyumba wangu, ya Jeezy, baada ya siku chache nikakuta kaivaa
Uliikutaje kaivaa?? Hebu fafanua hapa.
Na mimi nimejiuliza swali hilo hilo.Uliikutaje kaivaa?? Hebu fafanua hapa.
Alienda kukupiga kipapai huyo mwenye nyumba wako.Niliibiwa boksa na baba mwenye nyumba wangu, ya Jeezy, baada ya siku chache nikakuta kaivaa
Alikuwa kifua wazi, na boxa ikapanda nje ya surualiUliikutaje kaivaa?? Hebu fafanua hapa.
Hapo sawaaAlikuwa kifua wazi, na boxa ikapanda nje ya suruali